Ukimvua Sudi brown mask unafungwa?

Ukimvua Sudi brown mask unafungwa?

Hance Mtanashati

JF-Expert Member
Joined
Sep 7, 2016
Posts
23,909
Reaction score
31,704
Lile mask analolivaa sudi brown ukimvua kiutani utani au kikweli kweli unafungwa?
 
Sasa kwa nini mpaka leo waty hawajui sura yake?

Si anautani na watu wengi kwa nini wasimvue hata kiutani utani?
Mh kwa kweli sijajua kama wanaweza kumvua kiutaniutani
 
Ni life style yakee aloamuaa..!! Kibongo bongo wanaovaa vilee wachache sana kama hawapoo so kavunja rekodi pia..
 
Hivi ina maana watu hawajui anapoishi Sudi au?


Na kama wanajua hawamtembelei?

Na kama wanamtembelea ,muda wote kavaa mask tu?

Na kama kavaa mask ,je hamna hata kapicha chochote alichopiga kabla hajaanza kuvaa hilo li mask?
 
Mpaka leo hamjajua tu sura yake? Tatizo simu yangu iliyokuwa na picha yake ilikufa ghafla..
 
Picha zake zipo kibao mkuu, na kuna thread mbili zilishajadiliwa humu na zote kuna picha zake,
Ila kuhusu swala la kumvua mask inasemekana jamaa amepitia mafunzo ya karate so kwenye kujilinda yupo vizuri ndomana watu anaowafanyia umbea wanaishia kumtukana tu na hakuna hata mmoja aliyethubutu kupigana naye, sio kwamba hawamjui sura, ila wanaogopa kung'olewa meno
 
7228ec01a395e9e04b4a15fb8734bdea.jpg

Kuna huyu mwengine ndo nimemwona juzi kwa mara ya kwanza
 
Duh
hebu kajaribu kumvua afu urudi na mrejesho
 
Picha zake zipo kibao mkuu, na kuna thread mbili zilishajadiliwa humu na zote kuna picha zake,
Ila kuhusu swala la kumvua mask inasemekana jamaa amepitia mafunzo ya karate so kwenye kujilinda yupo vizuri ndomana watu anaowafanyia umbea wanaishia kumtukana tu na hakuna hata mmoja aliyethubutu kupigana naye, sio kwamba hawamjui sura, ila wanaogopa kung'olewa meno
 
Back
Top Bottom