James Martin
JF-Expert Member
- Apr 2, 2016
- 1,206
- 1,509
- Thread starter
- #41
LofaBoy hawezi kupumzika mkuu, wale marehemu wa Pemba wamempokea kwa mitama ya Mchomvu, na mpaka sahivi bado wanamgawana, anataman arudi dunian maana huko kati jamaa wanamshushia kichapo heavy hana hamu
Muhujumu uchumi hebu mwache mzee Mkapa apumzike kwa amani tafadhali. Hata kama kuna sehemu aliteleza lakini hakuwa mbaya wa hivyo.