The Palm Tree
JF-Expert Member
- Apr 13, 2013
- 7,951
- 12,535
Kuna Watu wengine sijui huko Vyuoni mlienda Kufanya nini. Hivi Mtanzania Kuhojiwa 'Hardtalk' ndiyo 'Justification' kwamba ni 'Mwerevu' sana au?
YES.....!
Yaani ndiyo maana yake...
Wewe unadhani kipimo cha werevu ni nini? Kuwa Rais kama Magufuli?
Tumia kipimo chako kupima werevu wa mtu...
Wengine wanetumia HARDTALK ya BBC...
Yote yanaweza kuwa sawa...