Ukimfungulia Biashara Mke Wako,Atachepuka Na Wateja Wake

Ukimfungulia Biashara Mke Wako,Atachepuka Na Wateja Wake

Holoholo

JF-Expert Member
Joined
May 10, 2023
Posts
8,702
Reaction score
19,592
Kwenye hizi biashara zenu mlizowaamini wake zenu wasimamie kuna mengi tunayaona. Mkeo atakuwa anafikika kiurahisi,imagine jamaa unamkuta anaongea na mkeo wanacheka,wewe ukifika tu wote kimya alafu jamaa anaondoka! Watu mbalimbali wenye hela,vyeo swaga watampata kirahsi sana,na ukimfatilia sana atakwambia hao ni wateja wake! Dawa ya haya ni kuwa mwanamke ni pambo la ndani,si vema mwanamke kumfungulia biashara, mke wangu hapan kabisa.
 
Mfiche nyumbani atagongwa na binamu yake, dereva wako au wake au mfanyakazi wako au fundi anayekuja kukarabati nyumba, mabomba au umeme.
Kama mkristo atagongwa na wanajumuiya au wana kwaya wenzie wa kanisani.
Padre au mchungaji pia anaweza kumgonga akienda kupata huduma au kuhudumia kanisani.
Anaweza gongwa na daktari wake n.k.
Usaliti na uzinzi tabia ya mtu haijalishi anabanwa kiasi gani.
 
Inategemeana na akili za huyo mwanamke, mi kuna mmoja nlimfungulia duka la liquor store nikainvest kama 7ml, ila kuna mwamba alikuwa ndio mteja wake mkuu, mwisho wa siku wakapeana mimba na mwamba akasema ana mke. Kajaribu kunisingizia ikashindikana, saivi na mtaji wote kashaula anasema nlimloga 😅.
 
Hata,kama utamfungia ndani kama ni wakuliwa ataliwa tu
mi nliwahi kula mke wa mtu mama wa nyumban nliji.tombea sn tu tena nyumban kwake maana lodge alikuwa anaogopa so urahisi sn ilikuwa ni hapo hapo kwake anatandka godoro sebuleni tunato.mbana mpk kuchoka nliamuaga kuachana nae tu mwnyw na ni kama alikuwa na mimba haijulikan ni yng au ya mumewe.
 
mi nliwahi kula mke wa mtu mama wa nyumban nliji.tombea sn tu tena nyumban kwake maana lodge alikuwa anaogopa so urahisi sn ilikuwa ni hapo hapo kwake anatandka godoro sebuleni tunato.mbana mpk kuchoka nliamuaga kuachana nae tu mwnyw na ni kama alikuwa na mimba haijulikan ni yng au ya mumewe.
Ulikuwa unamnepea "maraiya" sugu.Hawa wengine inabidi wamfuate awape dondoo na maujuzi.
 
Kwenye hizi biashara zenu mlizowaamini wake zenu wasimamie kuna mengi tunayaona. Mkeo atakuwa anafikika kiurahisi,imagine jamaa unamkuta anaongea na mkeo wanacheka,wewe ukifika tu wote kimya alafu jamaa anaondoka! Watu mbalimbali wenye hela,vyeo swaga watampata kirahsi sana,na ukimfatilia sana atakwambia hao ni wateja wake! Dawa ya haya ni kuwa mwanamke ni pambo la ndani,si vema mwanamke kumfungulia biashara, mke wangu hapan kabisa.

Imeandikwa ishi nao kwa kutumia akili
 
Back
Top Bottom