Ukimfumania mke wako utafanyaje?

Ukimfumania mke wako utafanyaje?

Omba Sana kwa muumba wako yasikukute kwa maana maamuz yanayotokea Ni tofaut Na ufikiriavyo kwa sasa
 
Naachana naye,simpigi wala sitamfanya kitu chochote zaidi ya kuachana naye .
 
P
Wakuu wa nchi naomba kuuliza, hivi ukimkuta mke wako wa ndoa yuko na mwanaume mwingine wanagegedana live utafanyaje wanaume wenzangu ?

Kuwapiga panga ?
Kumtimua mkeo ?
Kuwapiga na manati ya kizungu ?
Kumla tigo huyu mwanaume anayembanjua mkeo ?
Kuvunja ndoa ??
Kusamehe na kwenda kupima HIV .
Mimi kama mimi ni kutimua tuu!
Pole ........aaaaaaaaah
 
binafsi sijawahi kumkamata demu red handed ila nishawahi kukuta msg za mapenzi ktk simu yake, nikambana akanambia ni kweli mtu wake akalia sana hapo nimsamehe nikamwambia fresh kiroho safi ila nilichukua namba ya jamaa bila yeye kujua, siku moja nikamwambia tutoke kisha nikampigia jamaa aje nikawapambanisha, hiyo siku nilicheka sana walivyokuwa wanakataana, nikamwambia dada unaweza kuendeleatna maisha yako, (eti) alipata pressure akaanguka hapo ikabidi tuanze kumpepea hapo na jamaa yake, mpaka leo anaomba turudiane eti hajaona mtu kama mimi namwambia mama sikiliza apologize by justin timberlake
Acha moyo mgumu[emoji1] [emoji1] [emoji1]
 
Back
Top Bottom