Ukilewa sifa sana mwishowe unaanza kuropoka mambo yasiyo na mantiki kabisa

Haeleweki kabisa aisee.

Tatizo lake anapenda kufungua mdomo wake kama kasuku.

Anaunanga mfumo uliomweka Magufuli madarakani wakati ndo mfumo huo huo uliomweka yeye bungeni na ndo mfumo huo huo ambao chama chake huwa kinashiriki chaguzi chini yake.
Ukichambua kwa makini anachokisema unagundua ni pumba tu.

Tatizo ni kwamba hata wale wanamuuliza maswali nao ni wajinga kiasi kwamba hawawezi hata kugundua anachokisema ni pumba au hakina mantiki kisheria.
 
Fanya Lissu sio mbunge,sio mwanasiasa na wala si mwanachama wa Chadema bali ni rais wa chama cha wanasheria (Tanganyika)Tanzania,kwahiyo wale wanasheria wote tunaowajua na tusiowajua ambao wamemchagua Lissu kuwa rais wa chama chao ni watu wa ovyo wasiojua lolote na kwamba Lissu anawaburuza tu?

Hao wanasheria walimchagua kiushabiki tu.

Walitaka wawakomoe Mwakyembe na Magufuli.

Kichama chenyewe ni kidogo mno kisicho hata na ushawishi wowote ule wa maana.
 


Huyu mwanasheria mkuu wa CHADEMA eti anadai kuwa anapinga mfumo uliomweka rais Magufuli madarakani.

Cha ajabu ni kwamba hicho chama chake kimeshiriki chaguzi zote za vyama vingi tokea 1995 na kama sikosei miaka yote ya uchaguzi mkuu walikuwa na mgombea urais.

Sasa eti leo anapinga mfumo uliomweka madarakani rais Magufuli. Kwa msingi huo pia alipinga urais wa Mkapa na Kikwete pia.

Kama anapinga huo mfumo uliopo kwa nini alimpigia kampeni Dkt. Slaa 2010 alipogombea urais?

Kama anapinga mfumo uliopo kwa nini yeye na wenzake walibadili gia angani na kumchukua Lowassa aliyetemwa na CCM kuwa ndo mgombea wao?

Kama Lowassa angeshinda hiyo 2015 sidhani kama angeupinga huo urais wake. Si ajabu angeteuliwa kushika nyadhifa mojawapo angekubali haraka haraka kwa bashasha na hamu ya mtoto aliyepewa jojo.

Eti anapinga mfumo uliomweka Magufuli madarakani....kwani yeye ni mfumo gani uliomweka huko bungeni?

Si kashiriki chaguzi ambazo zilifanyika chini ya katiba hii hii inayotumika sasa! Tume ya uchaguzi iliyomtangaza Magufuli kuwa ndo mshindi ndo hiyo hiyo iliyomtangaza yeye Lissu kuwa mshindi wa hicho kiti chake.

Kwa hiyo ina maana pia anaupinga mfumo uliompeleka yeye bungeni, siyo?

Siku zote hawa watu nimekuwa nikiwaambia kama wakitaka wawe na mamlaka ya kimaadili dhidi ya mfumo wa uchaguzi tulionao basi waache kushiriki chaguzi zinazofanyika chini ya tume ya uchaguzi iliyopo pamoja na katiba hadi hapo zitapopatikana mpya.

Zaidi ya hapo wataishia kuonekana ni wanafiki wafamaji tu!

Oh kingine...eti [yeye Lissu] anamwambia Magufuli kwamba kama anataka Lissu atumikie nchi hii basi tubadilishe katiba.

Kwani sasa hivi yeye Lissu kuwa mbunge hatumikii nchi hii kwa katiba hii hii anayoitaka ibadilishwe?

This guy is so overrated when truth of the matter is he is just a fair to middling lawyer!

Nakubaliana na hoja hizi Nyani Ngabu. Nafikiri Mhe. Lissu hakuwa amejitayarisha vizuri kuhojiwa na wanahabari kuhusu suala hili. Angeweza kusema atazungumzia baadae lakini badala yake, kwa vile anapenda sana press, akaona hawezi kuiachia hiyo nafasi bila kusema maana ni 'champion'. Matokeo yake katoa majibu yasiyokuwa na nguvu ya hoja.
 
Ukweli ni kuwa Tundu Lissu ni mheshimiwa tena ni Mbunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mnadhimu mkuu wa kambi ya upinzani bungeni, prominent lawyer, mmoja kati ya watu maarufu nchini na hata nje ya mipaka ya nchi tofauti na wewe hata huna guts za kutumia jina lako unajiita Nyani Ngabu, mbeba mabox wa marekani, hujulikani hata jinsia yako kama ni mke au mme!
Hahaha mkuu huoni aibu kumwambia haya.
 
Ukweli ni kuwa Tundu Lissu ni mheshimiwa tena ni Mbunge wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, mnadhimu mkuu wa kambi ya upinzani bungeni, prominent lawyer, mmoja kati ya watu maarufu nchini na hata nje ya mipaka ya nchi tofauti na wewe hata huna guts za kutumia jina lako unajiita Nyani Ngabu, mbeba mabox wa marekani, hujulikani hata jinsia yako kama ni mke au mme!

Hahahaaaa imepenya hiyooooooo.
 
Nakubaliana na hoja hizi Nyani Ngabu. Nafikiri Mhe. Lissu hakuwa amejitayarisha vizuri kuhojiwa na wanahabari kuhusu suala hili. Angeweza kusema atazungumzia baadae lakini badala yake, kwa vile anapenda sana press, akaona hawezi kuiachia hiyo nafasi bila kusema maana ni 'champion'. Matokeo yake katoa majibu yasiyokuwa na nguvu ya hoja.

Tundu Lissu has never seen a camera he didn't like!

Put a camera in front of him and he loses his mind like a kid in a candy store!
 


Huyu mwanasheria mkuu wa CHADEMA eti anadai kuwa anapinga mfumo uliomweka rais Magufuli madarakani.

Cha ajabu ni kwamba hicho chama chake kimeshiriki chaguzi zote za vyama vingi tokea 1995 na kama sikosei miaka yote ya uchaguzi mkuu walikuwa na mgombea urais.

Sasa eti leo anapinga mfumo uliomweka madarakani rais Magufuli. Kwa msingi huo pia alipinga urais wa Mkapa na Kikwete pia.

Kama anapinga huo mfumo uliopo kwa nini alimpigia kampeni Dkt. Slaa 2010 alipogombea urais?

Kama anapinga mfumo uliopo kwa nini yeye na wenzake walibadili gia angani na kumchukua Lowassa aliyetemwa na CCM kuwa ndo mgombea wao?

Kama Lowassa angeshinda hiyo 2015 sidhani kama angeupinga huo urais wake. Si ajabu angeteuliwa kushika nyadhifa mojawapo angekubali haraka haraka kwa bashasha na hamu ya mtoto aliyepewa jojo.

Eti anapinga mfumo uliomweka Magufuli madarakani....kwani yeye ni mfumo gani uliomweka huko bungeni?

Si kashiriki chaguzi ambazo zilifanyika chini ya katiba hii hii inayotumika sasa! Tume ya uchaguzi iliyomtangaza Magufuli kuwa ndo mshindi ndo hiyo hiyo iliyomtangaza yeye Lissu kuwa mshindi wa hicho kiti chake.

Kwa hiyo ina maana pia anaupinga mfumo uliompeleka yeye bungeni, siyo?

Siku zote hawa watu nimekuwa nikiwaambia kama wakitaka wawe na mamlaka ya kimaadili dhidi ya mfumo wa uchaguzi tulionao basi waache kushiriki chaguzi zinazofanyika chini ya tume ya uchaguzi iliyopo pamoja na katiba hadi hapo zitapopatikana mpya.

Zaidi ya hapo wataishia kuonekana ni wanafiki wafamaji tu!

Oh kingine...eti [yeye Lissu] anamwambia Magufuli kwamba kama anataka Lissu atumikie nchi hii basi tubadilishe katiba.

Kwani sasa hivi yeye Lissu kuwa mbunge hatumikii nchi hii kwa katiba hii hii anayoitaka ibadilishwe?

This guy is so overrated when truth of the matter is he is just a fair to middling lawyer!

umesikika. ulitaka afanyaje??Kuna namna mbili za kubadili mfumo ambao unaona haufai. Moja kutumia Mikutano ya hadhara, makongamano na njia nyingine halali kuweka shinikizo na, pili ikishindikana(kwa sababu moja au nyingine) kushiriki uchaguzi na ukishinda unabadili huo mfumo.
 


Huyu mwanasheria mkuu wa CHADEMA eti anadai kuwa anapinga mfumo uliomweka rais Magufuli madarakani.

Cha ajabu ni kwamba hicho chama chake kimeshiriki chaguzi zote za vyama vingi tokea 1995 na kama sikosei miaka yote ya uchaguzi mkuu walikuwa na mgombea urais.

Sasa eti leo anapinga mfumo uliomweka madarakani rais Magufuli. Kwa msingi huo pia alipinga urais wa Mkapa na Kikwete pia.

Kama anapinga huo mfumo uliopo kwa nini alimpigia kampeni Dkt. Slaa 2010 alipogombea urais?

Kama anapinga mfumo uliopo kwa nini yeye na wenzake walibadili gia angani na kumchukua Lowassa aliyetemwa na CCM kuwa ndo mgombea wao?

Kama Lowassa angeshinda hiyo 2015 sidhani kama angeupinga huo urais wake. Si ajabu angeteuliwa kushika nyadhifa mojawapo angekubali haraka haraka kwa bashasha na hamu ya mtoto aliyepewa jojo.

Eti anapinga mfumo uliomweka Magufuli madarakani....kwani yeye ni mfumo gani uliomweka huko bungeni?

Si kashiriki chaguzi ambazo zilifanyika chini ya katiba hii hii inayotumika sasa! Tume ya uchaguzi iliyomtangaza Magufuli kuwa ndo mshindi ndo hiyo hiyo iliyomtangaza yeye Lissu kuwa mshindi wa hicho kiti chake.

Kwa hiyo ina maana pia anaupinga mfumo uliompeleka yeye bungeni, siyo?

Siku zote hawa watu nimekuwa nikiwaambia kama wakitaka wawe na mamlaka ya kimaadili dhidi ya mfumo wa uchaguzi tulionao basi waache kushiriki chaguzi zinazofanyika chini ya tume ya uchaguzi iliyopo pamoja na katiba hadi hapo zitapopatikana mpya.

Zaidi ya hapo wataishia kuonekana ni wanafiki wafamaji tu!

Oh kingine...eti [yeye Lissu] anamwambia Magufuli kwamba kama anataka Lissu atumikie nchi hii basi tubadilishe katiba.

Kwani sasa hivi yeye Lissu kuwa mbunge hatumikii nchi hii kwa katiba hii hii anayoitaka ibadilishwe?

This guy is so overrated when truth of the matter is he is just a fair to middling lawyer!

Mmmh nimerudia kusoma kama Mara tatu bado sioni hoja ya msingi zaidi ya mipasho tu.
 


Huyu mwanasheria mkuu wa CHADEMA eti anadai kuwa anapinga mfumo uliomweka rais Magufuli madarakani.

Cha ajabu ni kwamba hicho chama chake kimeshiriki chaguzi zote za vyama vingi tokea 1995 na kama sikosei miaka yote ya uchaguzi mkuu walikuwa na mgombea urais.

Sasa eti leo anapinga mfumo uliomweka madarakani rais Magufuli. Kwa msingi huo pia alipinga urais wa Mkapa na Kikwete pia.

Kama anapinga huo mfumo uliopo kwa nini alimpigia kampeni Dkt. Slaa 2010 alipogombea urais?

Kama anapinga mfumo uliopo kwa nini yeye na wenzake walibadili gia angani na kumchukua Lowassa aliyetemwa na CCM kuwa ndo mgombea wao?

Kama Lowassa angeshinda hiyo 2015 sidhani kama angeupinga huo urais wake. Si ajabu angeteuliwa kushika nyadhifa mojawapo angekubali haraka haraka kwa bashasha na hamu ya mtoto aliyepewa jojo.

Eti anapinga mfumo uliomweka Magufuli madarakani....kwani yeye ni mfumo gani uliomweka huko bungeni?

Si kashiriki chaguzi ambazo zilifanyika chini ya katiba hii hii inayotumika sasa! Tume ya uchaguzi iliyomtangaza Magufuli kuwa ndo mshindi ndo hiyo hiyo iliyomtangaza yeye Lissu kuwa mshindi wa hicho kiti chake.

Kwa hiyo ina maana pia anaupinga mfumo uliompeleka yeye bungeni, siyo?

Siku zote hawa watu nimekuwa nikiwaambia kama wakitaka wawe na mamlaka ya kimaadili dhidi ya mfumo wa uchaguzi tulionao basi waache kushiriki chaguzi zinazofanyika chini ya tume ya uchaguzi iliyopo pamoja na katiba hadi hapo zitapopatikana mpya.

Zaidi ya hapo wataishia kuonekana ni wanafiki wafamaji tu!

Oh kingine...eti [yeye Lissu] anamwambia Magufuli kwamba kama anataka Lissu atumikie nchi hii basi tubadilishe katiba.

Kwani sasa hivi yeye Lissu kuwa mbunge hatumikii nchi hii kwa katiba hii hii anayoitaka ibadilishwe?

This guy is so overrated when truth of the matter is he is just a fair to middling lawyer!

Jamaa ni kihiyo kwelikweli kwny mambo ya sheria, ile kajaaliwa kuongea kwa sauti kubwa na ya mkazo tu
 
Unang'ang'ana tuu imepenya lakini ukweli ndio huo, hauko kwenye ligi moja na Mheshimiwa Tundu Lissu kwa jinsi yeyote ile. Kakuzidi kila kitu kuanzia ufahamu mpaka familia. Wewe endelea tu kumpigia makofi ngosha wako wakati anabomoa nchi na Bashite wake!

Mimi sipo kwenye mashindano na mtu.

Kama wewe unaona kanizidi hayo ni maoni yako tu.

Na kamwe maoni yake si uhalisia wangu.

Imepenya hiyooooooo.
 
Magufuli na mheshimiwa Makonda mnaowajadili humu wao sio watu?
Ninyi ndio mnaosema kutwa kucha kuwa hamjadili watu bali masuala. Hata Magufuli anayedai kila siku watu wasijadiliwe, yeye ndiye wa kwanza kujadili watu. Ila anapojadiliwa yeye ndipo "busara" huhitajika za kujadili masuala, ili tu kuweka uhalali kwa nini ni "mediocrity kumjadili yeye"

Kwangu mimi hizo theories ni za kipuuzi tu. Mtu kama kafanya jambo linalohitaji mjadala, ajadiliwe tu. Watu wasijifiche kwenye kivuli cha kutojadili watu, ilhali wanafanya mambo yanayohitaji mjadala (chanya na hasi kadhalika). Issues zikiwepo za kujadili na tuzijadili. Mara nyingine issues zinaambatana na wahusika wa issues hizo, ambao ni watu. Sioni mantiki ya kujadili masuala, na matukio yaliyotokana na, yaliyosababishwa na, au yanayotengeneza watu halafu tukajidai kukwepa majina ya watu hao.
 
Ninyi ndio mnaosema kutwa kucha kuwa hamjadili watu bali masuala. Hata Magufuli anayedai kila siku watu wasijadiliwe, yeye ndiye wa kwanza kujadili watu. Ila anapojadiliwa yeye ndipo "busara" huhitajika za kujadili masuala, ili tu kuweka uhalali kwa nini ni "mediocrity kumjadili yeye"

Kwangu mimi hizo theories ni za kipuuzi tu. Mtu kama kafanya jambo linalohitaji mjadala, ajadiliwe tu. Watu wasijifiche kwenye kivuli cha kutojadili watu, ilhali wanafanya mambo yanayohitaji mjadala (chanya na hasi kadhalika). Issues zikiwepo za kujadili na tuzijadili. Mara nyingine issues zinaambatana na wahusika wa issues hizo, ambao ni watu. Sioni mantiki ya kujadili masuala, na matukio yaliyotokana na, yaliyosababishwa na, au yanayotengeneza watu halafu tukajidai kukwepa majina ya watu hao.

Huh?

Sasa hapo unanikemea mimi au?
 
Back
Top Bottom