Kweli mkuu huyu jamaa ana wivu ule wa kiafrika....hizi ngozi nyeusi sijui kwa nini tuliumbwa hiviJambo moja nafahamu ni kuwa una wivu mkuu dhidi ya huyu bwana,kadiri anavyozidi uikubalika ndivyo unavyozidi kuugua moyoni,nafuu yako ni watu kuacha kumsifia TL