Ukilewa sifa sana mwishowe unaanza kuropoka mambo yasiyo na mantiki kabisa

Nyani Ngabu

Platinum Member
May 15, 2006
92,227
113,584


Huyu mwanasheria mkuu wa CHADEMA eti anadai kuwa anapinga mfumo uliomweka rais Magufuli madarakani.

Cha ajabu ni kwamba hicho chama chake kimeshiriki chaguzi zote za vyama vingi tokea 1995 na kama sikosei miaka yote ya uchaguzi mkuu walikuwa na mgombea urais.

Sasa eti leo anapinga mfumo uliomweka madarakani rais Magufuli. Kwa msingi huo pia alipinga urais wa Mkapa na Kikwete pia.

Kama anapinga huo mfumo uliopo kwa nini alimpigia kampeni Dkt. Slaa 2010 alipogombea urais?

Kama anapinga mfumo uliopo kwa nini yeye na wenzake walibadili gia angani na kumchukua Lowassa aliyetemwa na CCM kuwa ndo mgombea wao?

Kama Lowassa angeshinda hiyo 2015 sidhani kama angeupinga huo urais wake. Si ajabu angeteuliwa kushika nyadhifa mojawapo angekubali haraka haraka kwa bashasha na hamu ya mtoto aliyepewa jojo.

Eti anapinga mfumo uliomweka Magufuli madarakani....kwani yeye ni mfumo gani uliomweka huko bungeni?

Si kashiriki chaguzi ambazo zilifanyika chini ya katiba hii hii inayotumika sasa! Tume ya uchaguzi iliyomtangaza Magufuli kuwa ndo mshindi ndo hiyo hiyo iliyomtangaza yeye Lissu kuwa mshindi wa hicho kiti chake.

Kwa hiyo ina maana pia anaupinga mfumo uliompeleka yeye bungeni, siyo?

Siku zote hawa watu nimekuwa nikiwaambia kama wakitaka wawe na mamlaka ya kimaadili dhidi ya mfumo wa uchaguzi tulionao basi waache kushiriki chaguzi zinazofanyika chini ya tume ya uchaguzi iliyopo pamoja na katiba hadi hapo zitapopatikana mpya.

Zaidi ya hapo wataishia kuonekana ni wanafiki wafamaji tu!

Oh kingine...eti [yeye Lissu] anamwambia Magufuli kwamba kama anataka Lissu atumikie nchi hii basi tubadilishe katiba.

Kwani sasa hivi yeye Lissu kuwa mbunge hatumikii nchi hii kwa katiba hii hii anayoitaka ibadilishwe?

This guy is so overrated when truth of the matter is he is just a fair to middling lawyer!
 


Huyu mwanasheria mkuu wa CHADEMA eti anadai kuwa anapinga mfumo uliomweka rais Magufuli madarakani.

Cha ajabu ni kwamba hicho chama chake kimeshiriki chaguzi zote za vyama vingi tokea 1995 na kama sikosei miaka yote ya uchaguzi mkuu walikuwa na mgombea urais.

Sasa eti leo anapinga mfumo uliomweka madarakani rais Magufuli. Kwa msingi huo pia alipinga urais wa Mkapa na Kikwete pia.

Kama anapinga huo mfumo uliopo kwa nini alimpigia kampeni Dkt. Slaa 2010 alipogombea urais?

Kama anapinga mfumo uliopo kwa nini yeye na wenzake walibadili gia angani na kumchukua Lowassa aliyetemwa na CCM kuwa ndo mgombea wao?

Kama Lowassa angeshinda hiyo 2015 sidhani kama angeupinga huo urais wake. Si ajabu angeteuliwa kushika nyadhifa mojawapo angekubali haraka haraka kwa bashasha na hamu ya mtoto aliyepewa jojo.

Eti anapinga mfumo uliomweka Magufuli madarakani....kwani yeye ni mfumo gani uliomweka huko bungeni?

Si kashiriki chaguzi ambazo zilifanyika chini ya katiba hii hii inayotumika sasa! Tume ya uchaguzi iliyomtangaza Magufuli kuwa ndo mshindi ndo hiyo hiyo iliyomtangaza yeye Lissu kuwa mshindi wa hicho kiti chake.

Kwa hiyo ina maana pia anaupinga mfumo uliompeleka yeye bungeni, siyo?

Siku zote hawa watu nimekuwa nikiwaambia kama wakitaka wawe na mamlaka ya kimaadili dhidi ya mfumo wa uchaguzi tulionao basi waache kushiriki chaguzi zinazofanyika chini ya tume ya uchaguzi iliyopo pamoja na katiba hadi hapo zitapopatikana mpya.

Zaidi ya hapo wataishia kuonekana ni wanafiki wafamaji tu!

Oh kingine...eti [yeye Lissu] anamwambia Magufuli kwamba kama anataka Lissu atumikie nchi hii basi tubadilishe katiba.

Kwani sasa hivi yeye Lissu kuwa mbunge hatumikii nchi hii kwa katiba hii hii anayoitaka ibadilishwe?

This guy is so overrated when truth of the matter is he is just a fair to middling lawyer!

Mbona umeandika mengi lakini point kidogo!
 
Mkuu naona umekutachi


Huyu mwanasheria mkuu wa CHADEMA eti anadai kuwa anapinga mfumo uliomweka rais Magufuli madarakani.

Cha ajabu ni kwamba hicho chama chake kimeshiriki chaguzi zote za vyama vingi tokea 1995 na kama sikosei miaka yote ya uchaguzi mkuu walikuwa na mgombea urais.

Sasa eti leo anapinga mfumo uliomweka madarakani rais Magufuli. Kwa msingi huo pia alipinga urais wa Mkapa na Kikwete pia.

Kama anapinga huo mfumo uliopo kwa nini alimpigia kampeni Dkt. Slaa 2010 alipogombea urais?

Kama anapinga mfumo uliopo kwa nini yeye na wenzake walibadili gia angani na kumchukua Lowassa aliyetemwa na CCM kuwa ndo mgombea wao?

Kama Lowassa angeshinda hiyo 2015 sidhani kama angeupinga huo urais wake. Si ajabu angeteuliwa kushika nyadhifa mojawapo angekubali haraka haraka kwa bashasha na hamu ya mtoto aliyepewa jojo.

Eti anapinga mfumo uliomweka Magufuli madarakani....kwani yeye ni mfumo gani uliomweka huko bungeni?

Si kashiriki chaguzi ambazo zilifanyika chini ya katiba hii hii inayotumika sasa! Tume ya uchaguzi iliyomtangaza Magufuli kuwa ndo mshindi ndo hiyo hiyo iliyomtangaza yeye Lissu kuwa mshindi wa hicho kiti chake.

Kwa hiyo ina maana pia anaupinga mfumo uliompeleka yeye bungeni, siyo?

Siku zote hawa watu nimekuwa nikiwaambia kama wakitaka wawe na mamlaka ya kimaadili dhidi ya mfumo wa uchaguzi tulionao basi waache kushiriki chaguzi zinazofanyika chini ya tume ya uchaguzi iliyopo pamoja na katiba hadi hapo zitapopatikana mpya.

Zaidi ya hapo wataishia kuonekana ni wanafiki wafamaji tu!

Oh kingine...eti [yeye Lissu] anamwambia Magufuli kwamba kama anataka Lissu atumikie nchi hii basi tubadilishe katiba.

Kwani sasa hivi yeye Lissu kuwa mbunge hatumikii nchi hii kwa katiba hii hii anayoitaka ibadilishwe?

This guy is so overrated when truth of the matter is he is just a fair to middling lawyer!
 
Kuna jamaa humu JF alimfananisha na yule jamaa wa aliyeimbwa kwenye wimbo wa hayati Banza Stone

-Mjinga hupenda majisifu hupenda majivuno,
Asichokijua hujifanya ajua , Maazuri ya kwake na Mabaya ya Wengine ,
Anaweza akateketeza Misingi na malengo ya jamii yoyoote!

R.I.P hayati Banza Stone
 
with this sort of mentality, one wonders whether rubbing shoulders with the so called "exposed" actually makes you become "exposed"


Huyu mwanasheria mkuu wa CHADEMA eti anadai kuwa anapinga mfumo uliomweka rais Magufuli madarakani.

Cha ajabu ni kwamba hicho chama chake kimeshiriki chaguzi zote za vyama vingi tokea 1995 na kama sikosei miaka yote ya uchaguzi mkuu walikuwa na mgombea urais.

Sasa eti leo anapinga mfumo uliomweka madarakani rais Magufuli. Kwa msingi huo pia alipinga urais wa Mkapa na Kikwete pia.

Kama anapinga huo mfumo uliopo kwa nini alimpigia kampeni Dkt. Slaa 2010 alipogombea urais?

Kama anapinga mfumo uliopo kwa nini yeye na wenzake walibadili gia angani na kumchukua Lowassa aliyetemwa na CCM kuwa ndo mgombea wao?

Kama Lowassa angeshinda hiyo 2015 sidhani kama angeupinga huo urais wake. Si ajabu angeteuliwa kushika nyadhifa mojawapo angekubali haraka haraka kwa bashasha na hamu ya mtoto aliyepewa jojo.

Eti anapinga mfumo uliomweka Magufuli madarakani....kwani yeye ni mfumo gani uliomweka huko bungeni?

Si kashiriki chaguzi ambazo zilifanyika chini ya katiba hii hii inayotumika sasa! Tume ya uchaguzi iliyomtangaza Magufuli kuwa ndo mshindi ndo hiyo hiyo iliyomtangaza yeye Lissu kuwa mshindi wa hicho kiti chake.

Kwa hiyo ina maana pia anaupinga mfumo uliompeleka yeye bungeni, siyo?

Siku zote hawa watu nimekuwa nikiwaambia kama wakitaka wawe na mamlaka ya kimaadili dhidi ya mfumo wa uchaguzi tulionao basi waache kushiriki chaguzi zinazofanyika chini ya tume ya uchaguzi iliyopo pamoja na katiba hadi hapo zitapopatikana mpya.

Zaidi ya hapo wataishia kuonekana ni wanafiki wafamaji tu!

Oh kingine...eti [yeye Lissu] anamwambia Magufuli kwamba kama anataka Lissu atumikie nchi hii basi tubadilishe katiba.

Kwani sasa hivi yeye Lissu kuwa mbunge hatumikii nchi hii kwa katiba hii hii anayoitaka ibadilishwe?

This guy is so overrated when truth of the matter is he is just a fair to middling lawyer!

lazima kuna kitu mbaya Lissu alishakufanyiaga.
hizi threads unazomfungulia si bure!!
 
Back
Top Bottom