Black poison The Factor
JF-Expert Member
- May 31, 2020
- 857
- 1,264
Oi mko murua wadau?
Kwahali hii wanaume tuna safari ndefu sana hapa duniani.
Kumekua na tabia ya kushangaza sana aisee, unakutana na mdada unaomba mbadishane namba, kabla ya kumweleza nia yako ya kutaka namba yake, anakuvamia na mizinga mikali balaa.
Hujamwabia kama unamtaka ila yeye anajiongeza juu kwa juu, mara sina gas, nadaiwa pango miezi mitatu, hujakaa sawa
unga umeisha, kiufupi ni balaa zito ani mpaka ukikutana na wengine unawaona kama gari la kubeba mafuta vile.
Hii ni hatari sana kwa ustawi wa kudumisha uhusiano.
Kwahali hii wanaume tuna safari ndefu sana hapa duniani.
Kumekua na tabia ya kushangaza sana aisee, unakutana na mdada unaomba mbadishane namba, kabla ya kumweleza nia yako ya kutaka namba yake, anakuvamia na mizinga mikali balaa.
Hujamwabia kama unamtaka ila yeye anajiongeza juu kwa juu, mara sina gas, nadaiwa pango miezi mitatu, hujakaa sawa
unga umeisha, kiufupi ni balaa zito ani mpaka ukikutana na wengine unawaona kama gari la kubeba mafuta vile.
Hii ni hatari sana kwa ustawi wa kudumisha uhusiano.