Ben Zen Tarot
JF-Expert Member
- Dec 13, 2014
- 3,910
- 6,704
.Nampa kesi ya ugaidi
.View attachment 1887000Nampa kesi ya ugaidi
Mate yamenirukia na corona hii tunahatarishana sana
Nilishaona kesi flani baba na mama walitengana watoto wakaambiwa wachague kwenda kwa mama au baba.wa kiume akasema anataka kuishi na shangazi yake na wa kike akasema yeye anataka aishi na baba yake.singo maza akabaki mwenyewe,so sadWatoto wa kike wanawapenda sasa baba zao
Nitafidia kwenye mahar siku akiletewa posa
Binafsi ningeendesha bila kufuta ningeacha ivyo ivyoIngekuwa mimi ndiyo mwenye gari naliendesha hivyo hivyo..
Alichoandika hapo thamani yake ni kubwa kuliko hilo gari..