Ukikielewa kifo umeyaelewa maisha

Ukikielewa kifo umeyaelewa maisha

Mr George Francis

JF-Expert Member
Joined
Jun 27, 2022
Posts
274
Reaction score
486
EKIKIELEWA KIFO, UMEYAELEWA MAISHA
#verytrue
Baada ya kuzaliwa tunaishi, baada ya kuishi tunakufa. Hivyo kuzaliwa, kuishi na kufa vinakwenda pamoja, kamwe havitengani.

Tulio wengi tunakumbuka kuzaliwa na kuishi lakini tunasahau kama kuna kifo. Mwanadamu wewe ni mavumbi na mavumbini utarudi.

Tunamkosea Mungu, Tunawakosea watu, Tunashindwa kusamehe waliotukusea, Tunalipa visasi, Tunakuwa wezi, Tunakuwa wazinifu, Tunakuwa wachawi na tunatenda maasi ya kila namna kwasabu tumesahau kama kuna kifo na ipi nusura yetu kwa mungu baada ya kifo.

Watu hawaoni tatizo kuua kwa sababu ya tamaa za pesa au mali wengine kwasabuvya chuki tu.

Naomba nikufunue akili na daima ukumbuke haya katika maisha yako
"UKIKIELEWA KIFO, UMEYAELEWA MAISHA".

"Ukikielewa kifo, umeyaelewa maisha"
hapa namaanisha kwamba ukitambua kama kuna kifo ni lazima utajali watu na utakuwa mwenye kusamehe na kuwapenda wengine.

Ukikielewa kifo, hautalipa kisasi, hautachukia wengine, hautakuwa mwizi, hautakuwa mzinifu, wala hautakuwa na dharau.

Ukikielewa kifo, pesa na mali hazitakufanya uwe na kiburi wala hazitafanya uwadhuru wengine ili kuzipata.
" UKIKIELEWA KIFO UMEYAELEWA MAISHA."

Ukikielewa kifo daima hautaacha kusaidia wetu wenye kuhitaji msaada wako kwani na wewe kuna siku utahitaji msaada wao, maisha yanaenda mbele yanarudi nyuma yaani kiufupi maisha yanabadilika.
"UKIKIELEWA KIFO, UMEYAELEWA MAISHA."

Kufupisha maelezo yangu nisisitize tu kwamba ukikielewa kifo, hautafanya mabaya kwa makusudi bali utakuwa mwema siku zote utakazoishi juu ya mgongo wa ardhi. Kielewe kifo ili uishi kwa furaha na amani kwa kujiwekea hadhina iliyotukuka mbele za Mungu.
"UKIKIELEWA KIFO, UMEYAELEWA MAISHA"

Karibu kwenye group la wanasheria tuendelee kujifunza elimu mbalimbali.

Join Telegram: TANZANIA LAWYERS FORUM 🎓

It's me
A Lawyer and LifeCoach
Mr. George Francis
Contacts: 0713736006
Email: mr.georgefrancis21@gmail.com
 
SAWA MKUU TUMEKUELEWA
EKIKIELEWA KIFO, UMEYAELEWA MAISHA
#verytrue
Baada ya kuzaliwa tunaishi, baada ya kuishi tunakufa. Hivyo kuzaliwa, kuishi na kufa vinakwenda pamoja, kamwe havitengani.

Tulio wengi tunakumbuka kuzaliwa na kuishi lakini tunasahau kama kuna kifo. Mwanadamu wewe ni mavumbi na mavumbini utarudi.

Tunamkosea Mungu, Tunawakosea watu, Tunashindwa kusamehe waliotukusea, Tunalipa visasi, Tunakuwa wezi, Tunakuwa wazinifu, Tunakuwa wachawi na tunatenda maasi ya kila namna kwasabu tumesahau kama kuna kifo na ipi nusura yetu kwa mungu baada ya kifo.

Watu hawaoni tatizo kuua kwa sababu ya tamaa za pesa au mali wengine kwasabuvya chuki tu.

Naomba nikufunue akili na daima ukumbuke haya katika maisha yako
"UKIKIELEWA KIFO, UMEYAELEWA MAISHA".

"Ukikielewa kifo, umeyaelewa maisha"
hapa namaanisha kwamba ukitambua kama kuna kifo ni lazima utajali watu na utakuwa mwenye kusamehe na kuwapenda wengine.

Ukikielewa kifo, hautalipa kisasi, hautachukia wengine, hautakuwa mwizi, hautakuwa mzinifu, wala hautakuwa na dharau.

Ukikielewa kifo, pesa na mali hazitakufanya uwe na kiburi wala hazitafanya uwadhuru wengine ili kuzipata.
" UKIKIELEWA KIFO UMEYAELEWA MAISHA."

Ukikielewa kifo daima hautaacha kusaidia wetu wenye kuhitaji msaada wako kwani na wewe kuna siku utahitaji msaada wao, maisha yanaenda mbele yanarudi nyuma yaani kiufupi maisha yanabadilika.
"UKIKIELEWA KIFO, UMEYAELEWA MAISHA."

Kufupisha maelezo yangu nisisitize tu kwamba ukikielewa kifo, hautafanya mabaya kwa makusudi bali utakuwa mwema siku zote utakazoishi juu ya mgongo wa ardhi. Kielewe kifo ili uishi kwa furaha na amani kwa kujiwekea hadhina iliyotukuka mbele za Mungu.
"UKIKIELEWA KIFO, UMEYAELEWA MAISHA"

Karibu kwenye group la wanasheria tuendelee kujifunza elimu mbalimbali.

Join Telegram: TANZANIA LAWYERS FORUM 🎓

It's me
A Lawyer and LifeCoach
Mr. George Francis
Contacts: 0713736006
Email: mr.georgefrancis21@gmail.com
 
Nasema hivi, UKIMWELEWA MUNGU UMEYAELEWA MAISHA. Kifo ni adui. Mungu ni silaha ya adui huyu. Sasa ukimwelewa tu adui bila kuwa na silaha, bado atakutwanga as usual. Umeelewa sasa?
huna akili.. tokea lini kifo kimekuwa adui
 
Kifo sio adui rafiki. Ukisoma post kwa makini utaona ukikielewa kifo itakufanya pia uwe na hofu ya Mungu hivyo kuishi kwa kutenda mema huku ukitambua kwamba kuna siku sote tutakufa,,
Nasema hivi, UKIMWELEWA MUNGU UMEYAELEWA MAISHA. Kifo ni adui. Mungu ni silaha ya adui huyu. Sasa ukimwelewa tu adui bila kuwa na silaha, bado atakutwanga as usual. Umeelewa sasa?
 
EKIKIELEWA KIFO, UMEYAELEWA MAISHA
#verytrue
Baada ya kuzaliwa tunaishi, baada ya kuishi tunakufa. Hivyo kuzaliwa, kuishi na kufa vinakwenda pamoja, kamwe havitengani.

Tulio wengi tunakumbuka kuzaliwa na kuishi lakini tunasahau kama kuna kifo. Mwanadamu wewe ni mavumbi na mavumbini utarudi.

Tunamkosea Mungu, Tunawakosea watu, Tunashindwa kusamehe waliotukusea, Tunalipa visasi, Tunakuwa wezi, Tunakuwa wazinifu, Tunakuwa wachawi na tunatenda maasi ya kila namna kwasabu tumesahau kama kuna kifo na ipi nusura yetu kwa mungu baada ya kifo.

Watu hawaoni tatizo kuua kwa sababu ya tamaa za pesa au mali wengine kwasabuvya chuki tu.

Naomba nikufunue akili na daima ukumbuke haya katika maisha yako
"UKIKIELEWA KIFO, UMEYAELEWA MAISHA".

"Ukikielewa kifo, umeyaelewa maisha"
hapa namaanisha kwamba ukitambua kama kuna kifo ni lazima utajali watu na utakuwa mwenye kusamehe na kuwapenda wengine.

Ukikielewa kifo, hautalipa kisasi, hautachukia wengine, hautakuwa mwizi, hautakuwa mzinifu, wala hautakuwa na dharau.

Ukikielewa kifo, pesa na mali hazitakufanya uwe na kiburi wala hazitafanya uwadhuru wengine ili kuzipata.
" UKIKIELEWA KIFO UMEYAELEWA MAISHA."

Ukikielewa kifo daima hautaacha kusaidia wetu wenye kuhitaji msaada wako kwani na wewe kuna siku utahitaji msaada wao, maisha yanaenda mbele yanarudi nyuma yaani kiufupi maisha yanabadilika.
"UKIKIELEWA KIFO, UMEYAELEWA MAISHA."

Kufupisha maelezo yangu nisisitize tu kwamba ukikielewa kifo, hautafanya mabaya kwa makusudi bali utakuwa mwema siku zote utakazoishi juu ya mgongo wa ardhi. Kielewe kifo ili uishi kwa furaha na amani kwa kujiwekea hadhina iliyotukuka mbele za Mungu.
"UKIKIELEWA KIFO, UMEYAELEWA MAISHA"

Karibu kwenye group la wanasheria tuendelee kujifunza elimu mbalimbali.

Join Telegram: TANZANIA LAWYERS FORUM

It's me
A Lawyer and LifeCoach
Mr. George Francis
Contacts: 0713736006
Email: mr.georgefrancis21@gmail.com
Ujumbe murua kabisa.
 
Mtoa mada ulishawahi kufiwa na mtu wako wa karibu kwa kifo chenye utata?
 
Nasema hivi, UKIMWELEWA MUNGU UMEYAELEWA MAISHA. Kifo ni adui. Mungu ni silaha ya adui huyu. Sasa ukimwelewa tu adui bila kuwa na silaha, bado atakutwanga as usual. Umeelewa sasa?
Mkuu usilaumu kifo ila mlaumu aliyeleta kifo?
Muulize kwanini alishindwa kuumba ulimwengu pasipo kuwa na kufa?
 
EKIKIELEWA KIFO, UMEYAELEWA MAISHA
#verytrue
Baada ya kuzaliwa tunaishi, baada ya kuishi tunakufa. Hivyo kuzaliwa, kuishi na kufa vinakwenda pamoja, kamwe havitengani.

Tulio wengi tunakumbuka kuzaliwa na kuishi lakini tunasahau kama kuna kifo. Mwanadamu wewe ni mavumbi na mavumbini utarudi.

Tunamkosea Mungu, Tunawakosea watu, Tunashindwa kusamehe waliotukusea, Tunalipa visasi, Tunakuwa wezi, Tunakuwa wazinifu, Tunakuwa wachawi na tunatenda maasi ya kila namna kwasabu tumesahau kama kuna kifo na ipi nusura yetu kwa mungu baada ya kifo.

Watu hawaoni tatizo kuua kwa sababu ya tamaa za pesa au mali wengine kwasabuvya chuki tu.

Naomba nikufunue akili na daima ukumbuke haya katika maisha yako
"UKIKIELEWA KIFO, UMEYAELEWA MAISHA".

"Ukikielewa kifo, umeyaelewa maisha"
hapa namaanisha kwamba ukitambua kama kuna kifo ni lazima utajali watu na utakuwa mwenye kusamehe na kuwapenda wengine.

Ukikielewa kifo, hautalipa kisasi, hautachukia wengine, hautakuwa mwizi, hautakuwa mzinifu, wala hautakuwa na dharau.

Ukikielewa kifo, pesa na mali hazitakufanya uwe na kiburi wala hazitafanya uwadhuru wengine ili kuzipata.
" UKIKIELEWA KIFO UMEYAELEWA MAISHA."

Ukikielewa kifo daima hautaacha kusaidia wetu wenye kuhitaji msaada wako kwani na wewe kuna siku utahitaji msaada wao, maisha yanaenda mbele yanarudi nyuma yaani kiufupi maisha yanabadilika.
"UKIKIELEWA KIFO, UMEYAELEWA MAISHA."

Kufupisha maelezo yangu nisisitize tu kwamba ukikielewa kifo, hautafanya mabaya kwa makusudi bali utakuwa mwema siku zote utakazoishi juu ya mgongo wa ardhi. Kielewe kifo ili uishi kwa furaha na amani kwa kujiwekea hadhina iliyotukuka mbele za Mungu.
"UKIKIELEWA KIFO, UMEYAELEWA MAISHA"

Karibu kwenye group la wanasheria tuendelee kujifunza elimu mbalimbali.

Join Telegram: TANZANIA LAWYERS FORUM

It's me
A Lawyer and LifeCoach
Mr. George Francis
Contacts: 0713736006
Email: mr.georgefrancis21@gmail.com
Daaah, safi sana. Hapa elimu dunia imekuwa connected na imani. Safi sana Mwanasheria, umetuonyesha kuwa kumbe tunayoyafanya hapa duniani yana uhusiano mkubwa sana na creature wetu, Mungu wa Mbinguni. Asante sana.
 
Mtoa mada ulishawahi kufiwa na mtu wako wa karibu kwa kifo chenye utata?
Yes, mwaka 2003 nilimpoteza mama yangu mzazi kwa kifo chenye utata. Mama yangu aliguswa na njiwa tu begani na akaanguka chini na kuzimia. Alipopata fahamu hakuwa tena na uwezo wa kutembea tena japo aliweza kuzungumza na kueleweka kwa shida. Ndugu walinuniana kwa kuhisiana vibaya kwa zaidi ya miaka nane hadi kumi.

Lakini baada ya viongozi wa kanisa kutuita kanisani na kupatanishwa tukajua kuwa haina maana kuendelea kuhifadhi chuki dhidi ya MTU aliyehisiwa kutenda tukio hilo na hadi Sasa tunaishi vizuri tu, japo nikili wazi ule ukaribu wa kindugu haupo tena kama zamani but hatuna beef ni amani tu.
 
Yes, mwaka 2003 nilimpoteza mama yangu mzazi kwa kifo chenye utata. Mama yangu aliguswa na njiwa TU begani na akaanguka chini na kuzimia. Alipopata fahamu hakuwa tena na uwezo wa kutembea tena japo aliweza kuzungumza na kueleweka kwa shida. Ndugu walinuniana kwa kuhisiana vibaya kwa zaidi ya miaka nane hadi kumi.

Lakini baada ya viongozi wa kanisa kutuita kanisani na kupatanishwa tukajua kuwa haina maana kuendelea kuhifadhi chuki dhidi ya MTU aliyehisiwa kutenda tukio hilo na hadi Sasa tunaishi vizuri tu, japo nikili wazi ule ukaribu wa kindugu haupo tena kama zamani but hauna beef ni amani tu.
Poleni Sana........
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom