Waungwana JF ni uwanja unaoheshimika kwa mawazo na michango yenye kujenga na kuelimisha........
Jamiiforums imekuwa darasa huru kwa wadau mbali mbali kujipatia maarifa mbali mbali kutokana na michango na mawazo ya wadau mbali mbali
Maswali yanayokuja humu ni uwakilisho wa jamii nzima kwa kuwa majibu yake yanawalenga au kuwanufaisha wengi......
Hivyo basi kiungwana kama unahisi huna jawabu au jawabu yakinifu juu ya kile kinachoulizwa ni vyema kubakia kimya kuliko kutoa majibu yanayozalishwa ambayo wewe hupo tayari kuyajibu........
Na wadau ambao kwa namna moja au nyingine wana majibu yaliyoshiba juu swali husika ni vyema kuwasilisha majibu kinaga ubaga ili iwe rahisi kwa wadau kutoa gizani.......
JF
HOME OF GREAT THINKERS.....