Mzukulu
JF-Expert Member
- Feb 14, 2020
- 1,401
- 2,631
" Nimeambiwa hata Mkurugenzi wa hapa ana matatizo ajirekebishe, siwezi nikamtumbua mbele ya Askofu, madhambi yake anayajua ameuza eneo kule, kikao kikakaa na mkataba alisaini kwa Tsh Mil 225 na kwa taarifa za pembeni ziliingizwa Mil 400 " - Rais
@MagufuliJP
Mzukulu nilikuwa sijui kumbe nchini Kwetu Tanzania Watu pekee ambao Mtumbuaji Mkuu si tu anawaheshimu ila anawaogopa pia ni Maaskofu?
@MagufuliJP
Mzukulu nilikuwa sijui kumbe nchini Kwetu Tanzania Watu pekee ambao Mtumbuaji Mkuu si tu anawaheshimu ila anawaogopa pia ni Maaskofu?