Wa kusoma JF-Expert Member Jul 30, 2011 3,454 2,975 Dec 15, 2011 #41 Mkapa alibinafsisha vitui vingi sana lkn namwona hapo ndio alikosea kutobinafsisha siasa
St. Paka Mweusi JF-Expert Member Sep 3, 2010 7,639 4,527 Dec 15, 2011 #43 Tatizo kubwa tulilonalo ni watu kutoweza kutofautisha mila za kiarabu na mafundisho ya dini.Kama tungeweza kutofautisha hayo tusingefikia hapa tulipo leo.
Tatizo kubwa tulilonalo ni watu kutoweza kutofautisha mila za kiarabu na mafundisho ya dini.Kama tungeweza kutofautisha hayo tusingefikia hapa tulipo leo.
SAGAI GALGANO JF-Expert Member Nov 13, 2009 43,707 60,767 Dec 15, 2011 #44 BAKWATA wanaandaa tamko na maandamano kupinga Mbowe kuvaa kanzu na barghashia.
WA-UKENYENGE JF-Expert Member Oct 1, 2011 2,918 1,233 Dec 15, 2011 #45 PARAGEcTOBORWA said: kwa hili la 2015 mbona tutashuhudia michango mpaka kwenye unyago jando n.k mbali kwenye makanisa na misikiti. Click to expand... Hata kule kwetu wataruhusu yale mambo ya ukekekekekeketa.........................i kwa mtiindo huu huu wa kutaka kura. :A S-coffee: :juggle::juggle:
PARAGEcTOBORWA said: kwa hili la 2015 mbona tutashuhudia michango mpaka kwenye unyago jando n.k mbali kwenye makanisa na misikiti. Click to expand... Hata kule kwetu wataruhusu yale mambo ya ukekekekekeketa.........................i kwa mtiindo huu huu wa kutaka kura. :A S-coffee: :juggle::juggle:
Idimulwa JF-Expert Member May 27, 2011 4,503 1,722 Dec 15, 2011 #46 Songíto;2976000 said: jamani waislamu na shura ya maimamu mbona hamtoi tamko kuhusu hiyo kanzu ya mbowe? nilitarajia hili kwa kulidhalilisha vazi hilo Click to expand... Bakwata wanajiandaa mkuu
Songíto;2976000 said: jamani waislamu na shura ya maimamu mbona hamtoi tamko kuhusu hiyo kanzu ya mbowe? nilitarajia hili kwa kulidhalilisha vazi hilo Click to expand... Bakwata wanajiandaa mkuu
Click_and_go JF-Expert Member Nov 21, 2010 451 5 Dec 16, 2011 #47 when you are in Rome be like the Romans!!!!
Mnyamwezi wa Urambo JF-Expert Member Dec 7, 2011 927 274 Dec 16, 2011 #48 Hapa ustadh alikuwa anatoa mawaidha kwa waumini!!
Mwita25 JF-Expert Member Apr 15, 2011 3,831 1,164 Dec 16, 2011 #49 Hii siyo thread ya kutusumbua wanaume na p*** zetu
K KIROJO Senior Member Dec 7, 2011 169 21 Dec 16, 2011 #51 The only said: View attachment 43320 source : Michuzi blog Hapa ni Machame ,Hai akichangisha watu wajenge msikiti ujulikanao kama Rambo. Click to expand... so what?unataka kutuambia kwamba anjifanya musla! wewe acha kukutupumbaza wewe unajua mtu akivaa tu nguo yake ya heshima tayari wewe ulishajua ehe!
The only said: View attachment 43320 source : Michuzi blog Hapa ni Machame ,Hai akichangisha watu wajenge msikiti ujulikanao kama Rambo. Click to expand... so what?unataka kutuambia kwamba anjifanya musla! wewe acha kukutupumbaza wewe unajua mtu akivaa tu nguo yake ya heshima tayari wewe ulishajua ehe!