GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 56,557
- 108,897
" Haiwezekani Wahitimu wote hasa hawa wa Kimedani ( Kipolisi / Kijeshi / Kimagereza ) wamalize wote salama kwa idadi ile ile. Sijasema kuwa hawa wa leo hawajafuzu ila hata Mashuleni na Vyuoni pia Watu huwa hawamalizi wote na kusikia kuwa hapa leo idadi ile ile kasoro Watu watatu waliofariki ndiyo imemaliza kidogo inanipa maswali mengi ila hongereni walinda Usalama wangu kwa kumaliza na mnastahili Sifa sana "
Naomba kila ' Great Thinker ' aisome hiyo Kauli na atulize kabisa akili zake kisha airudie tena halafu uanze Kutafakari kwa Kina kisha yale utakayopata basi nakuomba tu utiririke na userereke nayo hapa Jamvini japo kwa Mimi GENTAMYCINE nimemuelewa mno Mheshimiwa Rais na naliona ' tatizo ' kubwa katika ' recruitment ' na hasa hasa ' Trainings ' zao na kuna Kitu hapa Mheshimiwa Rais ' amekifumba ' na pia kuna ' taarifa ' ambayo yawezekana anayo juu ya hizi ' Kada ' Kuu kubwa tatu za Ulinzi na Usalama hapa Tanzania.
Nawasilisha.
Naomba kila ' Great Thinker ' aisome hiyo Kauli na atulize kabisa akili zake kisha airudie tena halafu uanze Kutafakari kwa Kina kisha yale utakayopata basi nakuomba tu utiririke na userereke nayo hapa Jamvini japo kwa Mimi GENTAMYCINE nimemuelewa mno Mheshimiwa Rais na naliona ' tatizo ' kubwa katika ' recruitment ' na hasa hasa ' Trainings ' zao na kuna Kitu hapa Mheshimiwa Rais ' amekifumba ' na pia kuna ' taarifa ' ambayo yawezekana anayo juu ya hizi ' Kada ' Kuu kubwa tatu za Ulinzi na Usalama hapa Tanzania.
Nawasilisha.