Ukiifahamu dunia kisawasawa huwezi kufa njaa wala kufa masikini!

Ukiifahamu dunia kisawasawa huwezi kufa njaa wala kufa masikini!

Mikopo Consultant

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2024
Posts
2,235
Reaction score
4,382
Hii elimu siwezi kuitoa public kwasababu serikali ya Tanzania kupitia Benki kuu ya Tanzania haitambua na inazuia watanzania kuelewa na kujihusisha na masuala yote yanayohusiana na Crpto currencies, forex, etc. Hii imekuwa ikinishangaza sana. Unakuta Gavana wa Benki Kuu anakaza shingo kweli kweli, "watanzania msijihusishe na crypto, ni hatariii!"

Na siku zote huwa najiuliza: Serikali au Benki Kuu, wanavyowakataza watu au kuwashauri watu, Je, huwa inawalipa fidia raia wake pale wanapopoteza hela zao? Sasa ni kwanini iumie watu wakijihusisha na masuala ya Crpto na Forex?

Kuna chaka moja la wazungu, huko ambako serikali haifuatilii "petty issues" linaitwa Polymarket. Huko bwana kuna kila aina ya takataka, kuanzia sports, politics, finance, tech, culture, etc. Ni kama betting markets lakini ni zaidi ya hapo.

Mfano mmoja wapo upo hivi. Sasa hivi kuna hati hati kwamba Benjamini Netanyahu amefariki. Sasa huko kwenye Polymarket kunakuwa na upande wa probability kwamba amefariki au yupo hai. Na kwenye kila probability unaweza kununua au kuuza.

Mfano mimi hapa chini nimeamua kukubali kwamba Benjamini Netanyahu amefariki. Na probability iliyopo kwa sasa ni 6.6%. Kwahiyo ukibet yes kwamba amekufa halafu ukaweka labda $100 (Tzs 250,000) kama hilo tukio likitokea kweli basi unauwezo wa kupata $1,430 (Tzs 3,575,000).

Polymarket 1.png


Hapa chini hii ni leaderboard ya siku, ya watu ambao wanaongoza kwa kutengeneza pesa kwa siku.
Polymarket 2.png


Kwa akili za ki-tanzania-tanzania unaweza kuambiawa kuna mtu anatengeneza $50,000 ukakataa, ila kwa kweli ukiifahamu dunia na mifumo yake; mambo mengi sana yanawezekana. Ila mtu ukiwa na mentality ya kimasikini kila jambo unaloelezwa utaona kama sio halisi na haliwezekani.

Kwa wanaobet mpira, pia humo kuna predictions za mipira zenye pesa nzuri. Nenda kimataifa achana na betting apps za wahindi.

Wenu,
MC Ghalibaf
 
Hii elimu siwezi kuitoa public kwasababu serikali ya Tanzania kupitia Benki kuu ya Tanzania haitambua na inazuia watanzania kuelewa na kujihusisha na masuala yote yanayohusiana na Crpto currencies, forex, etc. Hii imekuwa ikinishangaza sana. Unakuta Gavana wa Benki Kuu anakaza shingo kweli kweli, "watanzania msijihusishe na crypto, ni hatariii!"

Na siku zote huwa najiuliza: Serikali au Benki Kuu, wanavyowakataza watu au kuwashauri watu, Je, huwa inawalipa fidia raia wake pale wanapopoteza hela zao? Sasa ni kwanini iumie watu wakijihusisha na masuala ya Crpto na Forex?

Kuna chaka moja la wazungu, huko ambako serikali haifuatilii "petty issues" linaitwa Polymarket. Huko bwana kuna kila aina ya takataka, kuanzia sports, politics, finance, tech, culture, etc. Ni kama betting markets lakini ni zaidi ya hapo.

Mfano mmoja wapo upo hivi. Sasa hivi kuna hati hati kwamba Benjamini Netanyahu amefariki. Sasa huko kwenye Polymarket kunakuwa na upande wa probability kwamba amefariki au yupo hai. Na kwenye kila probability unaweza kununua au kuuza.

Mfano mimi hapa chini nimeamua kukubali kwamba Benjamini Netanyahu amefariki. Na probability iliyopo kwa sasa ni 6.6%. Kwahiyo ukibet yes kwamba amekufa halafu ukaweka labda $100 (Tzs 250,000) kama hilo tukio likitokea kweli basi unauwezo wa kupata $1,430 (Tzs 3,575,000).

View attachment 3557818

Hapa chini hii ni leaderboard ya siku, ya watu ambao wanaongoza kwa kutengeneza pesa kwa siku.
View attachment 3557821

Kwa akili za ki-tanzania-tanzania unaweza kuambiawa kuna mtu anatengeneza $50,000 ukakataa, ila kwa kweli ukiifahamu dunia na mifumo yake; mambo mengi sana yanawezekana. Ila mtu ukiwa na mentality ya kimasikini kila jambo unaloelezwa utaona kama sio halisi na haliwezekani.

Kwa wanaobet mpira, pia humo kuna predictions za mipira zenye pesa nzuri. Nenda kimataifa achana na betting apps za wahindi.

Wenu,
MC Ghalibaf
Mkuu huu utapeli mbona unajulikana sana mtaani, huku humpati hata mmoja
 
Dah hivi kama mnapiga hela, why huwa hampigi kimya kimya au kusaidia ndugu zenu mpige nao😅😂
Sharing is caring. Sijamuomba mtu pesa. Kwanini unakuwa na insecurity ya namna hiyo? Hizo ni tabia za ki-barmaid, ananunuliwa bia lakini kichwani kwake haoni bia bali anaona kitanda na kuvuliwa nguo!

Different scenario but same perspective.

Nilichofanya ni ku-share tu wala sio kingine. Mtu mzima 40+ na akili zako bado una uoga wa kuibiwa hela?
 
Mwanetu wa Mikopo anataka atukwapue akiba zetu
Dah hivi kama mnapiga hela, why huwa hampigi kimya kimya au kusaidia ndugu zenu mpige nao😅😂
Sharing is caring. Sijamuomba mtu pesa. Kwanini unakuwa na insecurity ya namna hiyo? Hizo ni tabia za ki-barmaid, ananunuliwa bia lakini kichwani kwake haoni bia bali anaona kitanda na kuvuliwa nguo!

Different scenario but same perspective.

Nilichofanya ni ku-share tu wala sio kingine. Mtu mzima 40+ na akili zako bado una uoga wa kuibiwa hela?
 
Ontorio dunia imebadilika na wewe badilika
Haya bana wajuzi wa mambo. Sina agenda yeyote ya utapeli. Ichukulie kama ni elimu mpya.

Nilichofanya ni kuchokoza mada. Ninachotaka ni wewe uchimbe kwa mda wako ujionee dunia inavyokwenda.
 
Hapana, kale jamaa at least kichwa kina-charge huyu ni numbnut
Yaani watanzania na kujifunza mambo ni mbingu na ardhi! Nilichofanya ni kuchokoza mada.

Sasa kama wewe unapewa chipsi mayai halafu hauoni chipsi mayai bali unaona kitanda na kuvuliwa nguo. Hiyo maana yake inaonesha wewe akili yako tayari ina shida pahala!
 
Hawa jamaa porojo kama waganga wa jadi, anakwambia anakutengenezea Uttajiri wakati ana watoto wake wa kiume na kike wamechoka chakaa mbaya
Acha porojo! Wapi nimesema nitakutengenezea utajiri? Acha hiyo mindset mkuu. Haikufikishi popote!

Mimi nimechokoza mada. Hivyo tu! Wewe chimba kwa mda wako, lakini usidhani kwamba ku-attack ndo unaonekana mjanja kwa watu. Huo ujanja, ni ujinga tu!
 
Back
Top Bottom