BROKE BOYS
JF-Expert Member
- Jan 12, 2019
- 13,220
- 39,059
- Thread starter
- #41
My principal is to do bad things to bad people.... MROGE
Jr
Kaka namwandalia chai
My principal is to do bad things to bad people.... MROGE
Jr
Safiiiii mkuuu wazoo zuriiiTumia simu ya demu wako upande mmoja mwambie atume hela ulipie guest na aje guest fulani kugegedana! lipia kabisa chumba aingie moja kwa moja chumba number 7. akija anakukuta mzee umetuna, akitulia muelezee; ''nilijua kitambo sana habari zako'' nakwambia anaweza kufa ghfla!
au mueleze mke wake kinachoendelea! asikae mbali siku anakuja guest hapo muite mke wake pia aje. mke wake amuulize sababu za kuja pale ni nini hapo?
Mimi kuna jamaa yanguu ameonge utumboo kwa manzi yanguu yanii manzii haniaminii saizi hata kidogo. Kuna siku nilileta mtu tukalala bahati nzurii nili mtoa asubuhii ghafla nashangaa saa 1 manzi anagongaa anakuja na kuanza kuangalia mashukaa na tauloo aiseee kumbe jamaa alimwambia kuwa nina manzii na jamaa niko naee namchora tu.Leo nimepewa taarifa kutoka kwa mpenzi wangu kuhusu mchizi wangu wa kitambo sana since advance till now ni wana sana kwa kila kitu.
Ni mchizi ambaye namwamini sana, siri zangu nyingi anazijua tunashare vingi. Sasa jamaa kumbe anamtaka mpenzi wangu kitambo tu sema shem lenu alikuwa hataki kunambia kwa kuhofia kuvunjika kwa urafiki wetu. Ila ameona imekuwa too much ameamua afunguke.
Ubaya sasa jamaa anampa huyu mpenzi wangu siri zangu ili ampate, ofcourse sikuamini mpaka nilipoona texts za mchizi za toka last year huyu msichana alikuwa anatunza. Na jamaa yuko siriaz anataka mzigo kwa mpenzi wangu, amenambia vingi sana hata siamini kama jamaa mchizi anaweza fanya us*** kama huu. Anatuma mpaka nyeti kwa mpenzi wangu.
Nilikua safari almost mwezi jamaa hapa ndio alikamia mchongo mpenzi wangu akaamua mblock ila jamaa akaendelea komaa kumcheki na namba Tofauti
Wazee wa hekima nipeni ushaurii hapa.
Asee mimi rafiki yangu ana mipaka,mishe nyingi asije home mara kwa mara tunakutana mbele huko...Mimi kuna jamaa yanguu ameonge utumboo kwa manzi yanguu yanii manzii haniaminii saizi hata kidogo. Kuna siku nilileta mtu tukalala bahati nzurii nili mtoa asubuhii ghafla nashangaa saa 1 manzi anagongaa anakuja na kuanza kuangalia mashukaa na tauloo aiseee kumbe jamaa alimwambia kuwa nina manzii na jamaa niko naee namchora tu.
Namsaidia kutongozaLeo nimepewa taarifa kutoka kwa mpenzi wangu kuhusu mchizi wangu wa kitambo sana since advance till now ni wana sana kwa kila kitu.
Ni mchizi ambaye namwamini sana, siri zangu nyingi anazijua tunashare vingi. Sasa jamaa kumbe anamtaka mpenzi wangu kitambo tu sema shem lenu alikuwa hataki kunambia kwa kuhofia kuvunjika kwa urafiki wetu. Ila ameona imekuwa too much ameamua afunguke.
Ubaya sasa jamaa anampa huyu mpenzi wangu siri zangu ili ampate, ofcourse sikuamini mpaka nilipoona texts za mchizi za toka last year huyu msichana alikuwa anatunza. Na jamaa yuko siriaz anataka mzigo kwa mpenzi wangu, amenambia vingi sana hata siamini kama jamaa mchizi anaweza fanya us*** kama huu. Anatuma mpaka nyeti kwa mpenzi wangu.
Nilikua safari almost mwezi jamaa hapa ndio alikamia mchongo mpenzi wangu akaamua mblock ila jamaa akaendelea komaa kumcheki na namba Tofauti
Wazee wa hekima nipeni ushaurii hapa.
Ni sawa ila,kuna,mda mnakuwa karibu mpaka anakuwa,anajua vile asivyo staili mfano michepuko na mishe zako za pesa.Asee mimi rafiki yangu ana mipaka,mishe nyingi asije home mara kwa mara tunakutana mbele huko...
Huyo jamaa ako sio rafiki,hata ukipata mishe yenye mapesa atakutangaza huyo ni mnafiki...akae mbali na wewe asikujue kihivyo maana anatangaza ishu zako,niliwahi kuwa na rafiki ambae anapenda kila nilichonacho nikamwona ni adui tu.Ni sawa ila,kuna,mda mnakuwa karibu mpaka anakuwa,anajua vile asivyo staili mfano michepuko na mishe zako za pesa.
Ila nimekuja kumjua mwishoni. Maana mara ya kwanza alinikandiaa kwa manzii mmoja hivi akaanza kumla kisiri sirii sema nilikuja kujua siku mmind sasa wapili ndo nimejua baada ya manzii kunirukiaa na story ambazoo nilimuambia jamaa kwa bahatii mbayaa kuwa simu yake naona msg zake na ilikuwa na mtania tu jamaa.
Ni sawa ila,kuna,mda mnakuwa karibu mpaka anakuwa,anajua vile asivyo staili mfano michepuko na mishe zako za pesa.
Ila nimekuja kumjua mwishoni. Maana mara ya kwanza alinikandiaa kwa manzii mmoja hivi akaanza kumla kisiri sirii sema nilikuja kujua siku mmind sasa wapili ndo nimejua baada ya manzii kunirukiaa na story ambazoo nilimuambia jamaa kwa bahatii mbayaa kuwa simu yake naona msg zake na ilikuwa na mtania tu jamaa.
Sure! Nakuunga mkono kuna vitabia alivionyesha huyo bidadaMkuu amini usiamini ila demu wako mchizi lazima amle kwa gharama yoyote ile tena ukivunja naye urafiki chance yakuliwa huyo demu wako itakuwa kubwa zaidi,mpk jamaa anamkomalia hivi kuna kitu demu wako alionyesha.
Yah umewaza vyema kabisaHakimu mzuri ni yule anaeangalia pande zote 2 kwa demu na rafiki.
Kabla ya kumchukulia hatua huyo rafiki yako, jaribu kumchunguza huyo demu wako kuhusiana na huyo rafiki (inawezekana kuna kitu behind the scene anakuficha coz mwaka mmoja ni mkubwa kutunza msg, pia kutumiwa picha za uchi kunakuwa na conversations za kimapenzi kabla na baada ya picha).
Badilisha rafiki, huyo hakufai.
Tumia simu ya mwanamke kumjulisha kwamba umezifuma msg zake, na pia tumia simu ya mwanamke kuchat nae huyo rafiki (itakusaidia kujua mengi zaidi)
Na kwelii kuna siku nilipata pesa nikawa kimyaa ila nikasema huyu jamaa ngoja,nimpee hata tusaidianee umaskiniii ila cha kushangaazaa nashangaa kuna jamaa ananipigia akaniambia ni mkope anajua nimepata pesa kumuuliza ndo nikaambiwa kuwa alimuomba jamaa jamaa,akasema ninazoo na sioo moja watu kama 4 hivii ikabidiii nivungetu saizi ndo nimemjua vizurii.Huyo jamaa ako sio rafiki,hata ukipata mishe yenye mapesa atakutangaza huyo ni mnafiki...akae mbali na wewe asikujue kihivyo maana anatangaza ishu zako,niliwahi kuwa na rafiki ambae anapenda kila nilichonacho nikamwona ni adui tu.
Uzurii nilimuachaa maana,nilimwambia wewe umeliwa tayarii hakuna maswaliiiii.Huyo demu pia kashaliwa na jamaa yako amin kwamba boss ndo maana mchizi ana power ya kumwambia chochote mimi manzi yangu nimemuwekea mipaka mazoea ya kupitiliza na wana staki mamaeee nisije kufanya dhambi ya kujeruhi mimi.
Mweee hilo bifu sio la nchi hiiMshikaji kumtongoza demu wangu ni kitu Cha kawaida kabisa, hata akimtongoza Dada yangu poa tu, nijue Sasa mshikaji anamtongoza Mama yangu, wallahi namuendea kwa waganga ishirini na mbili, wa Sumbawanga, Gamboshi, Tanga, Kigoma, Mafia, Nyambitilwa, Congo, Malawi, Hadi Msumbiji ntaenda ili dushe lako lipate govi upyaaaaaaa
Nikimaliza waganga, nahamia kwa mitume na manabii..
Jamaa atakomaje?
Leo nimepewa taarifa kutoka kwa mpenzi wangu kuhusu mchizi wangu wa kitambo sana since advance till now ni wana sana kwa kila kitu.
Ni mchizi ambaye namwamini sana, siri zangu nyingi anazijua tunashare vingi. Sasa jamaa kumbe anamtaka mpenzi wangu kitambo tu sema shem lenu alikuwa hataki kunambia kwa kuhofia kuvunjika kwa urafiki wetu. Ila ameona imekuwa too much ameamua afunguke.
Ubaya sasa jamaa anampa huyu mpenzi wangu siri zangu ili ampate, ofcourse sikuamini mpaka nilipoona texts za mchizi za toka last year huyu msichana alikuwa anatunza. Na jamaa yuko siriaz anataka mzigo kwa mpenzi wangu, amenambia vingi sana hata siamini kama jamaa mchizi anaweza fanya us*** kama huu. Anatuma mpaka nyeti kwa mpenzi wangu.
Nilikua safari almost mwezi jamaa hapa ndio alikamia mchongo mpenzi wangu akaamua mblock ila jamaa akaendelea komaa kumcheki na namba Tofauti
Wazee wa hekima nipeni ushaurii hapa.