UKIFUNGUA KAMPUNI NI KODI GANI NA GANI UNAHITAJI KULIPA TRA?

A.G.R

Senior Member
Feb 23, 2013
161
16
Habari Ndugu Zangu,

ningependa kufahamu mtu akiwa na kampuni anahitaji kulipia kodi gani na gani?
 
Habari Ndugu Zangu,

ningependa kufahamu mtu akiwa na kampuni anahitaji kulipia kodi gani na gani?

Withholding tax/stamp duty ya mkatab w pango kama umepanga ofisi ya hiyo kampuni yako

Provisional(makadirio) ya income tax, 30% ya unachofikiri itakuw faida yako katik mwaka husika. Waweza lipa mara moja au kwa quatrr 4.

Baada ya hapo wanakuoa tax clerence, ukapate lwaeni ya biashara
 
1. Estimation on Income tax

2. Income Tax ( Mwisho wa mwaka, baada ya kujaza vitabu vya mahesabu na kukaguliwa na auditor)

3.Vat ( if registered)

4.Witholding tax on Rent Fee (11% of rent)

5. WCF

6. SDL

Other Cost

1. Brela
2. Business Licence
3. Office Rent fee
4. Fire
5.Osha
6. Nssf
 
Habari Ndugu Zangu,

ningependa kufahamu mtu akiwa na kampuni anahitaji kulipia kodi gani na gani?
 
Withholding tax/stamp duty ya mkatab w pango kama umepanga ofisi ya hiyo kampuni yako
Provisional(makadirio) ya income tax, 30% ya unachofikiri itakuw faida yako katik mwaka husika. Waweza lipa mara moja au kwa quatrr 4.
Baada ya hapo wanakuoa tax clerence, ukapate lwaeni ya biashara
"Baada ya hapo wanakuoa tax clerence, ukapate lwaeni ya biashara",hii ndiyo maana ya sentensi tata katika lugha
 
Back
Top Bottom