Ukifuata ushauri huu, kamwe mapenzi hayatakusumbua

Ukifuata ushauri huu, kamwe mapenzi hayatakusumbua

Kuachwa kusikupe Stress, Haijalishi umeachwa mara ngapi,
Jali kile ulichojifunza kutoka kwa mtu aliyekuacha.. Kila
anayeingia maishani mwako ana Syllabus mkononi mwake, Every
topic anayokufundisha ichukulie serious huwezi jua mtihani wako
utatungwa kwenye Topic ipi..Usipojifunza lolote kutoka
kwenye Relationships ulizopitia utaendelea kufeli daima. Usijali
kuhusu listi ya Wanaume au Wanawake wangapi wametia
Signature kwenye moyo wako, ila nini umejifunza kwao, The
List doesnt matter....Usione Waumini 100 wamesimama
kwenda kutoa Sadaka Mchungaji ukachekelea bingo,wanaweza
kuweka jero jero tu,ila wanaweza kusimama Waumini
10 tu matajiri wakatoa Laki-Laki na kapu likajaa...Numbers doesnt
count when it comes to Love,kuwa na listi lakini ikufunze!
Ukiogopa kuumia kwenye Mapenzi hutajifunza kitu ata siku....

kuachwa kuachwa,
kuachwa kuachwa ni shughuli pevu,
mbaya zaidi kwa yule uliempenda yeye ananenepa wewe unakonda..x2 mambo ya josee mara..
 
Kuachwa kusikupe Stress, Haijalishi umeachwa mara ngapi,
Jali kile ulichojifunza kutoka kwa mtu aliyekuacha.. Kila
anayeingia maishani mwako ana Syllabus mkononi mwake, Every
topic anayokufundisha ichukulie serious huwezi jua mtihani wako
utatungwa kwenye Topic ipi..Usipojifunza lolote kutoka
kwenye Relationships ulizopitia utaendelea kufeli daima. Usijali
kuhusu listi ya Wanaume au Wanawake wangapi wametia
Signature kwenye moyo wako, ila nini umejifunza kwao, The
List doesnt matter....Usione Waumini 100 wamesimama
kwenda kutoa Sadaka Mchungaji ukachekelea bingo,wanaweza
kuweka jero jero tu,ila wanaweza kusimama Waumini
10 tu matajiri wakatoa Laki-Laki na kapu likajaa...Numbers doesnt
count when it comes to Love,kuwa na listi lakini ikufunze!
Ukiogopa kuumia kwenye Mapenzi hutajifunza kitu ata siku....
Ngojea nimtumie MNS-Room to read.
 
Somo mahbuba hili........and the list continue.......
 
Ujumbe huu unawapa watu fursa ya kujaribu kwa vile practice makes perfect..... binafsi sikubaliani nao!

umeona eeehe! watu wanajifarijii basi nikajua watu wana vilisti virefuuu na vibuti virefuuu! wako desperate wanataka farijiwa eti!
 

eeboooo hiyo itakua mupya
akirudisha makises yako,na wewe
utamrudishia mauno yake au?imposible!!
 
somo hili alione Eiyer, mi tayari nalijua.
 
Last edited by a moderator:
Kuachwa kusikupe Stress, Haijalishi umeachwa mara ngapi,
Jali kile ulichojifunza kutoka kwa mtu aliyekuacha.. Kila
anayeingia maishani mwako ana Syllabus mkononi mwake, Every
topic anayokufundisha ichukulie serious huwezi jua mtihani wako
utatungwa kwenye Topic ipi..Usipojifunza lolote kutoka
kwenye Relationships ulizopitia utaendelea kufeli daima. Usijali
kuhusu listi ya Wanaume au Wanawake wangapi wametia
Signature kwenye moyo wako, ila nini umejifunza kwao, The
List doesnt matter....Usione Waumini 100 wamesimama
kwenda kutoa Sadaka Mchungaji ukachekelea bingo,wanaweza
kuweka jero jero tu,ila wanaweza kusimama Waumini
10 tu matajiri wakatoa Laki-Laki na kapu likajaa...Numbers doesnt
count when it comes to Love,kuwa na listi lakini ikufunze!
Ukiogopa kuumia kwenye Mapenzi hutajifunza kitu ata siku....

Lol!!!!! kwa mara ya kwanza jf nimepata mtu mwenye mawazo kama yangu.. huu uzi umenibariki sana!
 
ohooo thank you so much ujumbe mzuri umekuja wakati muafaka kuna mtu katoka kuniambia maisha mema sasa hivi atleast nimepata tabasamu
 
ohooo thank you so much ujumbe mzuri umekuja wakati muafaka kuna mtu katoka kuniambia maisha mema sasa hivi atleast nimepata tabasamu
 
Mtazamo huo hauna ukweli wowote bali unawafariji na kuwatia moyo MALAYA wenye wapenzi wengi. Lazima ujiulize kwa nini kila siku unabadilisha wapenzi. Hapo kuna kasoro, lazima utafakari na kurekebisha makosa yako yanayosababisha mara kwa mara ukimbiwe na wapenzi wako. Huu ni mtazamo wangu tu. MALAYA mnaobadilisha wapenzi kila siku msinirushie mawe.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom