Sasa nakujaje wakati sina mwenyeji
Kuna dada mmoja alikiw mwenyeji wangu sehemu panaitwa Mwidu mbele kidogo ya Ubena Zomozi Chalinze, hapo cha ajabu ana chumba kimoja na bwana ake. Sikulala nilikesha mlangoni mpaka asubuhi.
Yule jamaa anasema shemeji njoo ndani ulale utaumwa na mbu hapo nje nikawa nazuga napata upepo ndani ni joto. Asubuhi nilipanda bus kutoka moro bila hata kuaga. Yule jamaa alivyofika ndani tu alibali na boxer huu so ufala huu nani aende akalale