Ukifa unazaliwa tena

M

h ya kweli haya?
Kama ni uwongo mbona hawapendi kufa ili wazaliwe tena?

Afu inakuwaje kiumbe kilishapoteza kumbukumbu na kuzaliwa upya kikakumbuka ya nyuma tena?

Je inshu ya genetic hormones inayoambatana na kizazi hadi kizazi imepotelea wapi hadi huyo kiumbe azaliwe kwa wazazi wengine upya?

Kwanini azaliwe akiwa Binadamu lakini asiwe mende, nyangumi n.k?
 
Mimi nipo njia panda
Inafikirisha sana mpaka unashindwa kuelewa hii Dunia
Kuna mambo mengi yamejificha, yaani mradi tupo tu

Kuna wahindi wanaamini kabisa wakifa wanarudi na kuwa viumbe wengine kabisa ila inategemea eti na dhambi zako

Mmoja nilimwambia ukifa unataka uwe nani akasema Mbwa sababu anazijua yeye maana nilicheka mpaka nikakaa chini
 
Inaaminika kua km ukiish kwa kutenda mema ukifa utazaliwa tena kweny familia yenye uwezo na furaha ila km ukiish kw uovu ukifa utazaliwa kwenye shida au kuzaliwa mnyama km mbwa,swala au panya kbs. Nandomana unaambiwa paradiso na kuzimu ni hapahap dunian
 
Bora ingekuwa wazi
 
Mkuu tofauti na mwili wako kuna wewe ,ukifa wewe unaweza chukua mwili mwingne kwenye tumbo la mama mjamzito baada ya miezi mi tatu kutimia , jambo hili sio tu huko mwenyewe nina mengi ya kushangza ila kutokana na iman za watu inabidi ninyamaze tu yaishie tu moyoni.
 
Roho inaachana na mwili na kwenda kuanzisha maisha mengine kwa umbo jingine.
Ni lazima urudi nyumbani kwanza huko 5th Dimension, hapa tupo 3rd Dimension na hapo 4th Dimension ndio kwenye Astral plane ambako wajuzi wanaacha miili yao wanakwenda tembea na kurudia miili yao.

Sasa ukifa ukaridhia kurudi nyumbani (maana kuna wengine wanakua hawapo tayari bado kurudi, ndio wanaranda randa kama mizimu/Ghosts). Ukisharudi nyumbani kwanza kuna malipizi ya kufanya kutokana na uliyotenda hapa Duniani na pia kama utapenda rudi utapewa mikataba kadhaa ambapo utachagua unaotaka kuja tumikia, na ndio maana tuanaambiwa kila kikutokeacho kimeandikwa kable (life is prescripted na ina episodes kabisa kama muvi vile). Na kama unapitia episode fulani basi itapita kama itakiwavyo (hakuna muujiza wala sala za y kukukwamua hapo).

Hivyo basi unayopitia yaweza kuwa ni malipizi ya maisha yaliyopita, maana utalipa kwa kila ufanyacho, iwe wema kwa wema au ubaya kwa ubaya na hajalishi kama ulisamehewa ama ala. (Kipimo kilekile muwapiamiacho wengine, nanyi pia mtapimiwa, ndio ukweli).
 

Embu tupe kidogo
 
Reincarnation
 
Jina la muvi linaitwaje?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…