ukiandikiwa have multiple selection inabidi uchukue hatua gani

ukiandikiwa have multiple selection inabidi uchukue hatua gani

must b

Member
Joined
Sep 23, 2014
Posts
60
Reaction score
10
Mdogo wangu ameandikiwa multiple selection kwenye profile yake na kwny majina ya waliochaguliwa jina lake halipo. wala hakuna sehemu iliyoandikwa confirm.nifanyaje hpo naomba ushahuri
 
Mdogo wangu ameandikiwa multiple selection kwenye profile yake na kwny majina ya waliochaguliwa jina lake halipo. wala hakuna sehemu iliyoandikwa confirm.nifanyaje hpo naomba ushahuri
Chuo gani?
 
Atumie email ya chuo kwenda kucornfirm, au aufuate maelekezo ya chuo.
 
Undergraduate muda bado mmepewa wa kuomba km IPO hivyo Fanya marekebisho mwisho tar 10
 
Kwanza ajue ni vyuo gani amechaguliwa halafu ni course zipi? Baada ya hapo achague anataka kwenda wapi na awaandikie e_mail kama chuo kile akitakacho kilivyo elekeza mwisho 10.10.2017
 
Back
Top Bottom