Mejasoko
JF-Expert Member
- Oct 20, 2019
- 318
- 646
Kwanini ni muhimu kuweka plan nzuri? Siku moja wanafunzi wanne wa chuo wanaosoma programme moja walicheza hadi usiku sana hawakusoma na kesho yake kulikua na Test imepangwa.
Kulivyokucha wakawaza plan moja, wakajichafua sana na grease/grisi na oil alafu wakaenda kwa Dean(mkuu wa programme wanayosomea) na wakamdanganya kuwa usiku walienda kwenye harusi na wakati wanarudi gari iliharibika ikabidi wasukume njia nzima usiku kucha na muda huo ndo wamefika chuo kwahiyo hawapo kwenye hali nzuri kufanya Test.
Dean wala hakuwabishia sana akawaambia kwa kuwasaidia wajiandae na Re-test siku 3 zijazo, wakashukuru na wakasema watakua tayari kwa muda huo uliopangwa, kweli walisoma sana hakuna kitu waliacha kusoma.
Siku 3 zilipita muda wa Test ukafika, wao walifika mapema kabla ya Dean, Dean alipofika akawaambia "Test yenu ina masharti ya kipekee sana, wote wanne mtatakiwa mkae kwenye vyumba tofauti kwaajili ya kufanya hiyo test" wote walikubali maana walijiandaa vizuri sana hizo siku 3, hivyo kila mtu hakujali na wakakaa chumba tofauti.
Test ikaja kila mtu akafungua akakutana na maswali mawili tu yenye Marks 100.
Qn 1. Jina lako nani ........ (2 marks)
Qn 2. Tairi ipi ilipasuka?
(a) la mbele kulia
(b) la mbele kushoto
(c) la nyuma kulia
(d) la nyuma kushoto ( 98 marks).
Wanafunzi hawa wote walifeli maana hawakua na plan nzuri ya uongo wao.
Hii ni stori ya kweli iliyotokea Indian Institute of Technology (IIT) Batch ya 1992
Kulivyokucha wakawaza plan moja, wakajichafua sana na grease/grisi na oil alafu wakaenda kwa Dean(mkuu wa programme wanayosomea) na wakamdanganya kuwa usiku walienda kwenye harusi na wakati wanarudi gari iliharibika ikabidi wasukume njia nzima usiku kucha na muda huo ndo wamefika chuo kwahiyo hawapo kwenye hali nzuri kufanya Test.
Dean wala hakuwabishia sana akawaambia kwa kuwasaidia wajiandae na Re-test siku 3 zijazo, wakashukuru na wakasema watakua tayari kwa muda huo uliopangwa, kweli walisoma sana hakuna kitu waliacha kusoma.
Siku 3 zilipita muda wa Test ukafika, wao walifika mapema kabla ya Dean, Dean alipofika akawaambia "Test yenu ina masharti ya kipekee sana, wote wanne mtatakiwa mkae kwenye vyumba tofauti kwaajili ya kufanya hiyo test" wote walikubali maana walijiandaa vizuri sana hizo siku 3, hivyo kila mtu hakujali na wakakaa chumba tofauti.
Test ikaja kila mtu akafungua akakutana na maswali mawili tu yenye Marks 100.
Qn 1. Jina lako nani ........ (2 marks)
Qn 2. Tairi ipi ilipasuka?
(a) la mbele kulia
(b) la mbele kushoto
(c) la nyuma kulia
(d) la nyuma kushoto ( 98 marks).
Wanafunzi hawa wote walifeli maana hawakua na plan nzuri ya uongo wao.
Hii ni stori ya kweli iliyotokea Indian Institute of Technology (IIT) Batch ya 1992