adden
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 7,035
- 15,540
huwa najiuliza kwa sauti kubwa!
ikitokea magu akasema kila mtanzania achukue kitu anachotaka hapa tanzania we utawahi kuchukua nini kiwe chako na vizazi vyako vijavyo???
mi kiukweli nachukua mlima kilimanjaro
embu tiririkeni nyie mtauana mpate nini??
ikitokea magu akasema kila mtanzania achukue kitu anachotaka hapa tanzania we utawahi kuchukua nini kiwe chako na vizazi vyako vijavyo???
mi kiukweli nachukua mlima kilimanjaro
embu tiririkeni nyie mtauana mpate nini??