Ukiambiwa chukua chako hapa utachukua nini??!!

adden

JF-Expert Member
Dec 27, 2015
7,035
15,540
huwa najiuliza kwa sauti kubwa!
ikitokea magu akasema kila mtanzania achukue kitu anachotaka hapa tanzania we utawahi kuchukua nini kiwe chako na vizazi vyako vijavyo???
mi kiukweli nachukua mlima kilimanjaro

embu tiririkeni nyie mtauana mpate nini??
 
Mimi nitabaki na nilivyonavyo, sihitaji kuchukua kingine kwa kuwa najua hiyo ndoto tu, na ukiamka utajikuta uko vilevile...
 
47b579900abcd4459583c87b65b5386b.jpg
tuzipende na kuzitetea rasilimali zetu,mimi ntaondoka tu hii kitu
 
huwa najiuliza kwa sauti kubwa!
ikitokea magu akasema kila mtanzania achukue kitu anachotaka hapa tanzania we utawahi kuchukua nini kiwe chako na vizazi vyako vijavyo???
mi kiukweli nachukua mlima kilimanjaro

embu tiririkeni nyie mtauana mpate nini??
Labda Makinikia
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom