Aki kublock kwenye social media badilisha user name muombe urafiki aki accept tu na wewe unamblok hapo tuliozoea jiji tunasema ngoma droo na tunaset mambo mengine yaende kwenye mtandao
😂 😂 😂
Nimependa umekuwa mkweli, ila kuacha ndo raqha bhaaana! Unamsikilizia vile anavyo type na kufuta kama dakika 5 baada ya kibuti, halafu unacheeeka unajiona mshindi.!!
Aki kublock kwenye social media badilisha user name muombe urafiki aki accept tu na wewe unamblok hapo tuliozoea jiji tunasema ngoma droo na tunaset mambo mengine yaende kwenye mtandao
Nimependa umekuwa mkweli, ila kuacha ndo raqha bhaaana! Unamsikilizia vile anavyo type na kufuta kama dakika 5 baada ya kibuti, halafu unacheeeka unajiona mshindi.!!