Ukiachwa unajisikiaje?Acha kabla ya kuachwa

me hua nna principle ya ku-balance shobo zangu.

nshawahi kuwa na demu, kila kitu namfanyia lkn hakuwahi kurudisha shukrani hata kwa neno asante.

nkajisemea mwenyewe, bora nkae pembeni japokuwa nilikuwa naumia sana baada ya kujiweka pembeni lkn ilikuwa afadhali kwangu.
 
5 Reactions
Reply
Back
Top Bottom