Uki-delete file/folder katika kompyuta linakwenda wapi?

Uki-delete file/folder katika kompyuta linakwenda wapi?

Haiwezi ku effect kwa kuwa sehemu iliyopo inachukuliwa kuwa ni tupu kwa kuwa sahemu hiyo itakuwa replaced na unachoandika.

Ukiona hard disk yako ina memory ndogo kuliko files unazotumia na ulizonazo au yaliopo basi elewa kuwa kuna hidden files ambazo huzioni. Au kuna setting ya kuweka muda mrefu wa kuzi rewrite files zilizokuwa deleted.
Mchango wako umekua mkubwa kwa hii thread,asante.

Kama file ndilo linabadilishwa jina, je memory ya 'content' yetu inakuwa katika status gani? Nielewe hapa kama nimefuta content 2mb foristance, disk yangu itakua 2mb free pia. Sasa memory status ya hiyo content inakuwaje?

hata bibi alikuwa binti.
 
Unacho sema nikweli ,ila nikiamua kuongea kilaam (programming zaidi)ni ngumu kuelewana maana wote tunao changia si wataalam hivyo tunatafuta lugha ambayo wote tutaelewa.
Mwagika tu, wa kuelewa atakuelewa

hata bibi alikuwa binti.
 
Jibu fupi:
<Uki delete file permanently, haliondoki , bali linakua super compressed (kwa compression ratio flani) kubwa mno na kutunzwa pahali flani katika file allocation table ya disk yako

>Hii ni sawa na kukunja kunja karatasi ukaikunja vilivyo then ukarudisha katika kabati la mafile(file allocation table) pale ofisini kwako

>File linakua super compressed kiasi kwamba unaona disk imeongezeka storage, iyo ni sawa na iyo karatasi ulioinkunja mno lina save space kabatini.

>Kwa maana hii, ukitumia recovery kinachofanyika ni kulikunjuakunjua ilo file ili lirudi katika hali yake, ni sawa na unavyolikunjua karatasi ili upate ikiwa plane kabisa, mida nyingine unafeli katika kukunjua karatasi huchanika, ni sawa na iyo recovery tool, linarudisha file likiwa corrupted.

>Baada yada flani ilo file ulilodiliti linaondolewa katika FAT(file allocation table sawa na kabati la mafail) system permanently, kwa windows wana mda wao,
>Nadhani hapa ndipo SWALI lako lilipo, hua linaenda wapi?
>Kujibu ni lazima ujue disk(hard disk au solid state disk) inafanyaje kazi katika READ/WRITE/ERASE mode.


Tuanze na Hard Disk Drive katika Read/Write/Erase Mode

>Hard disk ina platter, actuator, head, electronics, etc
>Platter ni ile round disk yenyewe(kama umepata kuifungua), platter imetengenezwa kwa magnetic material(huambukizwa usumaku permanently) ambato ni ferrite.
>Platter ina tracks, njia ndefu ambayo inazunguka disk mpaka kufikia katikati, ukikunjua ile track urefu wake ni mpaka one km(not so sure) na track imegawantika into Sectors, sectors ndani yake ndio kuna izo FAT's kuhifadhi data zako unazoweka digitally, bits, 0's and 1's.

>Unapoweka file katika hard disk (WRITE), una magnetize(unaipa usumaku) portion ndogo sana katika sector ndani ya ferrite platter yako, usumaku unatoka katika write header (kale kakichwa kanachogusa disk ukiifungua hdd yako), header ina coil+iron core, inatengeneza usumaku kutoka katika umeme, unamwambukiza platter yako (portion ndani ya sector) ili kuhifadhi data/file

>Sehemu iliyokua magnetized(kuambukizwa usumaku) (digital 1) ndio Huhifadhi data katika hard disk.


Tuje katika READ MODE
>Unapotaka soma file husika, platter huzungushwa na motor, ndio ule mlio unousikia, platter ikizunguka Read head ambayo ipo kwa chini ya platter inafanya Reading..inadetect portion ipi katika sector ipo magnetized, ni kama jenereta inavyofanya kazi, ukiwa na motion(from motor), magnetism(from sector portion) unapata current ambayo hupelekwa katika electronic circuits, kumbuka Write head ipo juu ya platter na Read head chini ya platter.



ERASE MODE(Hapa ndipo jawabu lako lilipo)
>Unapofanya permanent deletion kama nilivyosema awali , data haifutwi bali inakua super compressed(inakunjwa mno sana) na kuhifadhiwa katika fat katika disk, ikiwa na memory ndogo mno, kutegemeana na mkunjo(compression ratio)

>Baada ya mda fulani, windows, linux wana mda wao special, file hufutwa moja kwa moja kutoka katika hard disk.

>Hii ni sawa na ku DE-MAGNETIZE portion ya sector husika katika platter (u change it from 1 to 0 digital).

Bottom line:

1.Tuna WRITE katika hard disk kwa ku MAGNETIZE sehemu husika.

2.Tuna READ katika hard disk kwa ku detect kama portion iko magnetized au lah na

3.Tuna ERASE kwa ku DE-MAGNETIZE sehemu husika.

So kama hdd yako ni 500GB, free space ni 500GB , INA maana regions zote za sectors zote ya platter nzima ziko DE-MAGNETIZED (hazina usumaku).

Nadhani una misingi ya topic ya Magnetism(Usumaku), Physics Form 2
Umetiririka vizuri sana umenikumbusha hadi platter actuator etc.

Kuhusu super_compression unamaanisha linakuwa compressed to zero byte?
Jibu fupi:
<Uki delete file permanently, haliondoki , bali linakua super compressed (kwa compression ratio flani) kubwa mno na kutunzwa pahali flani katika file allocation table ya disk yako

>Hii ni sawa na kukunja kunja karatasi ukaikunja vilivyo then ukarudisha katika kabati la mafile(file allocation table) pale ofisini kwako

>File linakua super compressed kiasi kwamba unaona disk imeongezeka storage, iyo ni sawa na iyo karatasi ulioinkunja mno lina save space kabatini.

>Kwa maana hii, ukitumia recovery kinachofanyika ni kulikunjuakunjua ilo file ili lirudi katika hali yake, ni sawa na unavyolikunjua karatasi ili upate ikiwa plane kabisa, mida nyingine unafeli katika kukunjua karatasi huchanika, ni sawa na iyo recovery tool, linarudisha file likiwa corrupted.

>Baada yada flani ilo file ulilodiliti linaondolewa katika FAT(file allocation table sawa na kabati la mafail) system permanently, kwa windows wana mda wao,
>Nadhani hapa ndipo SWALI lako lilipo, hua linaenda wapi?
>Kujibu ni lazima ujue disk(hard disk au solid state disk) inafanyaje kazi katika READ/WRITE/ERASE mode.


Tuanze na Hard Disk Drive katika Read/Write/Erase Mode

>Hard disk ina platter, actuator, head, electronics, etc
>Platter ni ile round disk yenyewe(kama umepata kuifungua), platter imetengenezwa kwa magnetic material(huambukizwa usumaku permanently) ambato ni ferrite.
>Platter ina tracks, njia ndefu ambayo inazunguka disk mpaka kufikia katikati, ukikunjua ile track urefu wake ni mpaka one km(not so sure) na track imegawantika into Sectors, sectors ndani yake ndio kuna izo FAT's kuhifadhi data zako unazoweka digitally, bits, 0's and 1's.

>Unapoweka file katika hard disk (WRITE), una magnetize(unaipa usumaku) portion ndogo sana katika sector ndani ya ferrite platter yako, usumaku unatoka katika write header (kale kakichwa kanachogusa disk ukiifungua hdd yako), header ina coil+iron core, inatengeneza usumaku kutoka katika umeme, unamwambukiza platter yako (portion ndani ya sector) ili kuhifadhi data/file

>Sehemu iliyokua magnetized(kuambukizwa usumaku) (digital 1) ndio Huhifadhi data katika hard disk.


Tuje katika READ MODE
>Unapotaka soma file husika, platter huzungushwa na motor, ndio ule mlio unousikia, platter ikizunguka Read head ambayo ipo kwa chini ya platter inafanya Reading..inadetect portion ipi katika sector ipo magnetized, ni kama jenereta inavyofanya kazi, ukiwa na motion(from motor), magnetism(from sector portion) unapata current ambayo hupelekwa katika electronic circuits, kumbuka Write head ipo juu ya platter na Read head chini ya platter.



ERASE MODE(Hapa ndipo jawabu lako lilipo)
>Unapofanya permanent deletion kama nilivyosema awali , data haifutwi bali inakua super compressed(inakunjwa mno sana) na kuhifadhiwa katika fat katika disk, ikiwa na memory ndogo mno, kutegemeana na mkunjo(compression ratio)

>Baada ya mda fulani, windows, linux wana mda wao special, file hufutwa moja kwa moja kutoka katika hard disk.

>Hii ni sawa na ku DE-MAGNETIZE portion ya sector husika katika platter (u change it from 1 to 0 digital).

Bottom line:

1.Tuna WRITE katika hard disk kwa ku MAGNETIZE sehemu husika.

2.Tuna READ katika hard disk kwa ku detect kama portion iko magnetized au lah na

3.Tuna ERASE kwa ku DE-MAGNETIZE sehemu husika.

So kama hdd yako ni 500GB, free space ni 500GB , INA maana regions zote za sectors zote ya platter nzima ziko DE-MAGNETIZED (hazina usumaku).

Nadhani una misingi ya topic ya Magnetism(Usumaku), Physics Form 2


hata bibi alikuwa binti.
 
Mchango wako umekua mkubwa kwa hii thread,asante.

Kama file ndilo linabadilishwa jina, je memory ya 'content' yetu inakuwa katika status gani? Nielewe hapa kama nimefuta content 2mb foristance, disk yangu itakua 2mb free pia. Sasa memory status ya hiyo content inakuwaje?

hata bibi alikuwa binti.

"content" haina memory yeyote, ipo pale kama magnetic memory, ambayo nayo huwa "erased" baada ya kuwekeza kitu kingine kwenye nafasi yake.

Memory hiyo inatumika lakini haionyeshi kuwa nafasi hiyo inatumika na "deleted files" kwa mtumiaji.
 
"content" haina memory yeyote, ipo pale kama magnetic memory, ambayo nayo huwa "erased" baada ya kuwekeza kitu kingine kwenye nafasi yake.

Memory hiyo inatumika lakini haionyeshi kuwa nafasi hiyo inatumika na "deleted files" kwa mtumiaji.
Asante kwa maelezo yako. I appreciate yo comments.

hata bibi alikuwa binti.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom