Uki-delete file/folder katika kompyuta linakwenda wapi?

teledam

JF-Expert Member
Mar 6, 2017
927
1,239
Habari JF,
Naomba kufahamishwa. Unapo futa file ama folder ama document nyingine yoyote katika kompyuta i/linakwenda wapi?

Ikumbukwe kwamba kuna temporary deletion na permanent deletion (shift+del) na hapa nimelenga kwa permanent deletion

Nimejaribu ku-google lakini sijapata maelezo ya kuridhisha sana, pengine labda ni kwa sababu ya kilugha kilichotumika.

Naomba kwa anayefahamu basi anifahimishe nami kwa lugha yetu pendwa ya kiswahili ili nielewe.

Natanguliza shukrani.
 
Unapo delete file katika computer,kuna sehemu linaenda kukaa lakini herufi ya kwanza ya jina la hilo file huwa inatolewa so linakuwa alipo katk sehemu ya kawaida.
Binadamu wa kwanza kuweza kufufua deleted computer file anaitwa Norton! Huyu bwana siku moja akiwa kama mtaalamu wa ICT alifuta file muhimu la boss wake na alijikuta ktk hatari ya kufukuzwa kazi na pengine kupelekwa sehemu salama! Alichofanya ni kusoma tena programing books na kugundua tricks zilizomfanya kuweza kufufua hilo file muhimu la boss wake na alipofanikiwa aliacha kazi na kufungua kampuni iliyoitwa Norton .Norton baadae akaunda software inayoitwa Norton data recovery ambayo ilifanya vyema ktk soko la software duniani. Na baadae akaazisha product zingine kama vile norton antvirus,norton disc utulity n.k
 
Unapo delete file katika computer,kuna sehemu linaenda kukaa lakini herufi ya kwanza ya jina la hilo file huwa inatolewa so linakuwa alipo katk sehemu ya kawaida.
Binadamu wa kwanza kuweza kufufua deleted computer file anaitwa Norton! Huyu bwana siku moja akiwa kama mtaalamu wa ICT alifuta file muhimu la boss wake na alijikuta ktk hatari ya kufukuzwa kazi na pengine kupelekwa sehemu salama! Alichofanya ni kusoma tena programing books na kugundua tricks zilizomfanya kuweza kufufua hilo file muhimu la boss wake na alipofanikiwa aliacha kazi na kufungua kampuni iliyoitwa Norton .Norton baadae akaunda software inayoitwa Norton data recovery ambayo ilifanya vyema ktk soko la software duniani. Na baadae akaazisha product zingine kama vile norton antvirus,norton disc utulity n.k
Haah haa kweli kula nauli ujue vichochoro vyote
 
Linapoenda kwenye recycle bin unakuwa umedelete temporary unaweza ukarestore likarudi, sasa anauliza ukilifuta kule kwenye recycle bin linaenda wapi?
Umefafanua vyema aseeh
 
Kuna temporary na permanent ukifuta temporary unalikuta kwenye Recycle bin ila permanent(Ctrl + Shift+ Delete) hata mwenyewe kilaza sijui nalikuta wapi
 
Swali zuri sana.

Uki "delete" file kwenye kompyuta file hilo halifutiki linabaki kwenye "hard disk" yako. Unapo delete kinachofanyika ni kubadili jina tunla hilo file na unaijuwa hulioni tena bali "content" ya hilo file hubaki sehemu liliyowekwa mpaka kinapokuja kuandikwa kingine kwenye sehemu ile lilipokuwepo.

Ndiyo maana "files" zilizokuwa deleted zinaweza kuwa "recovered" kwa kutumia "data recovery softwares".
 
Unapo delete file katika computer,kuna sehemu linaenda kukaa lakini herufi ya kwanza ya jina la hilo file huwa inatolewa so linakuwa alipo katk sehemu ya kawaida.
Binadamu wa kwanza kuweza kufufua deleted computer file anaitwa Norton! Huyu bwana siku moja akiwa kama mtaalamu wa ICT alifuta file muhimu la boss wake na alijikuta ktk hatari ya kufukuzwa kazi na pengine kupelekwa sehemu salama! Alichofanya ni kusoma tena programing books na kugundua tricks zilizomfanya kuweza kufufua hilo file muhimu la boss wake na alipofanikiwa aliacha kazi na kufungua kampuni iliyoitwa Norton .Norton baadae akaunda software inayoitwa Norton data recovery ambayo ilifanya vyema ktk soko la software duniani. Na baadae akaazisha product zingine kama vile norton antvirus,norton disc utulity n.k
Maelezo murua kabisa. Sasa hiyo location ni wapi katika kompyuta
 
Kuna temporary na permanent ukifuta temporary unalikuta kwenye Recycle bin ila permanent(Ctrl + Shift+ Delete) hata mwenyewe kilaza sijui nalikuta wapi
Tusubiri majibu hapa, naamini tutayapata
 
Swali zuri sana.

Uki "delete" file kwenye kompyuta file hilo halifutiki linabaki kwenye "hard disk" yako. Unapo delete kinachofanyika ni kubadili jina tunla hilo file na unaijuwa hulioni tena bali "content" ya hilo file hubaki sehemu liliyowekwa mpaka kinapokuja kuandikwa kingine kwenye sehemu ile lilipokuwepo.

Ndiyo maana "files" zilizokuwa deleted zinaweza kuwa "recovered" kwa kutumia "data recovery softwares".
Sasa kama linakuwa lipo kwenye hard disk kwanini space ya hard disk huwa inaongezeka?
 
FaizaFoxy naomba usinichape nilipokosea lugha maana nina F kiswahili
 
As
Swali zuri sana.

Uki "delete" file kwenye kompyuta file hilo halifutiki linabaki kwenye "hard disk" yako. Unapo delete kinachofanyika ni kubadili jina tunla hilo file na unaijuwa hulioni tena bali "content" ya hilo file hubaki sehemu liliyowekwa mpaka kinapokuja kuandikwa kingine kwenye sehemu ile lilipokuwepo.

Ndiyo maana "files" zilizokuwa deleted zinaweza kuwa "recovered" kwa kutumia "data recovery softwares".
Asante kwa Maelezo yako safi. Je itaweza ku-affect memory ya kompyuta yangu?
Kwa mfano kabla ya kufuta HDD yangu inasoma used 330gb let say na free 150gb.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom