KikulachoChako
JF-Expert Member
- Jul 21, 2013
- 19,801
- 39,661
Maelezo ninayoona ni ya watumiaji wa computer na sio wataalamu wa computer
Nimependa ufafanuzi wako, Ila kama bado file linabaki kwenye computer mbona space inaongezeka baada ya kufuta hizo file ilhali bado ziko kwenye hiyo hard drive?Swali zuri sana.
Uki "delete" file kwenye kompyuta file hilo halifutiki linabaki kwenye "hard disk" yako. Unapo delete kinachofanyika ni kubadili jina tunla hilo file na unaijuwa hulioni tena bali "content" ya hilo file hubaki sehemu liliyowekwa mpaka kinapokuja kuandikwa kingine kwenye sehemu ile lilipokuwepo.
Ndiyo maana "files" zilizokuwa deleted zinaweza kuwa "recovered" kwa kutumia "data recovery softwares".
Huyu hajauliza kiutaalamu wa software, ni kama chagizo, likifutika linakwenda wapi? Hata hapo kwa hard disk, umesema lingine likiwekwa mahali pake, lenyewe hutoweka, nako hapo atauliza tena linaenda wapi? Jibu sahihi alishajibiwa kwa mfumo wa swali ktk post za juu, kwani ulipolitengeneza ulilitoa wapi? Nae ajifikirishe kidogo.Swali zuri sana.
Uki "delete" file kwenye kompyuta file hilo halifutiki linabaki kwenye "hard disk" yako. Unapo delete kinachofanyika ni kubadili jina tunla hilo file na unaijuwa hulioni tena bali "content" ya hilo file hubaki sehemu liliyowekwa mpaka kinapokuja kuandikwa kingine kwenye sehemu ile lilipokuwepo.
Ndiyo maana "files" zilizokuwa deleted zinaweza kuwa "recovered" kwa kutumia "data recovery softwares".
Sasa kama linakuwa lipo kwenye hard disk kwanini space ya hard disk huwa inaongezeka?
linakuwa compressed kwa kiwango cha juu sana lakini bado linakuwepo ndio maana unaweza kuli recoverSasa kama linakuwa lipo kwenye hard disk kwanini space ya hard disk huwa inaongezeka?
Nijuavyo, unapotengeneza folder you are writing on a disk. Sasa vipi kuhusu kulifuta?Kwani ulivyolitengeneza hilo faili lilikuja kutoka wapi? Swali lako ni kama vile ulitaka kapu la uchafu ulione na uchafu uuone uupeleke jalalani.
Sent using Jamii Forums mobile app
Karibu tupe maelezo ya kitaalam kiongozi.
hata bibi alikuwa binti.
As
Asante kwa Maelezo yako safi. Je itaweza ku-affect memory ya kompyuta yangu?
Kwa mfano kabla ya kufuta HDD yangu inasoma used 330gb let say na free 150gb.
Personal Computer yangu ya kwanza ilikuwa Atari mwaka 1980.Maelezo ninayoona ni ya watumiaji wa computer na sio wataalamu wa computer
Huyu hajauliza kiutaalamu wa software, ni kama chagizo, likifutika linakwenda wapi? Hata hapo kwa hard disk, umesema lingine likiwekwa mahali pake, lenyewe hutoweka, nako hapo atauliza tena linaenda wapi? Jibu sahihi alishajibiwa kwa mfumo wa swali ktk post za juu, kwani ulipolitengeneza ulilitoa wapi? Nae ajifikirishe kidogo.
Jibu la Mdau huyu linanikumbusha mada moja, " tukifa tunakwenda wapi" watu walijibu, tulipokuwepo kabla ya kuzaliwa na hali ileile tuliyokuwa nayo awali, nalo pia ni chagizo.
Sent using Jamii Forums mobile app
Personal Computer yangu ya kwanza ilikuwa Atari mwaka 1980.
Elimu yangu ilihusiana sana na mambo ya computers bila kusahau profession yangu, si utumiaji tu.Hongera.....
Hakika unayajua mengi kwenye computer maana ni mtumiaji wa muda wa kifaa hicho.....
Elimu yangu ilihusiana sana na mambo ya computers bila kusahau profession yangu, si utumiaji tu.
Ukiandika na kuweka nukta inatakiwa zisizidi tatu. Sielewi hizo nukta ulizojaza wewe zinaashiria nini?Hongera sana........kwa elimu hiyo.....bila shaka wewe ni mbobezi kwenye fani hiyo.....!!
Ukiandika na kuweka nukta inatakiwa zisizidi tatu. Sielewi hizo nukta ulizojaza wewe zinaashiria nini?
Na uki empty recycle bin yataenda wapi?Nijuavyo linaenda kwenye Recycle bin![]()