Serikali imetoa, na pia ndiò iliyoandaa utaratibu wa wananchi kutoa pole kwa wafiwaSerikalli na yenyewe itoe rambirambi, waache kuombaomba michango kwa walala hoi.
Bila inquiry Ili ujue kosa ni la.nani, basi wamepigwa changa la moto, Milioni mojasiyo fidia ya uzembe, shida ni umaskini na serikali katiliHivi ile ferry haikuwa na bima?naomba kupata ufahamu