UKAWA yaimarika nchini

UKAWA yaimarika nchini

huwezi kuona kwa vile una miwani ya mbao, nalo pia umesahau!
 
Katika jambo la kushangaza ni ushindi wa jimbo la Lisu na wa CUF kule Mtwara,makubwa zaidi ya haya yanawezekana
 
Ukawa nio mbinu ya kuua Chadema!Viongozi kwa maslahi yao binafsi kulinda nafasi zao za uongozi wamefoji huu muungano.....Kama kuna nia ya kutaka kushika dola basi vyama hivi viungane kisheria na kutengeneza chama kipya chenye nguvu...take me huu muungano ni impossible kwa sheria za sasa..hakuna kitu kibaya kama mifarakano karibu na uchaguzi...
 
Sijaona kuimarika kwa ukawa sijui kama pengine tuko nchi tofauti jamani.

Wewe ni sikio la kufa sio bure. Nchi nzima mpaka viongozi wako wamechutama kwa aibu ya kuachwa uchi wewe bado unakomaa!
 
Mtazamo wangu ni Tofauti na na ndugu yangu wa SIMIYU, Sijui mawazo yake huwa yanawawakilisha wana SIMIYU au yeye mwenyewe binafsi, Kimsingi wakurugenzi pamoja na jeshi la polisi limechangia ushindi kwa upinzani, tofauti na miaka ya nyuma ambapo jeshi na wakurugenzi walikuwa linaamua linavyotaka,

Nasikitika kwa yaliyotokea Nzega kwa kijana aliepigwa na kitu chenye ncha kali mgongoni kikatokea tumboni, kijana anasafirishwa leo kuelekea kigoma
 
Sijaona kuimarika kwa ukawa sijui kama pengine tuko nchi tofauti jamani.

Utaonaje wakat unaakili finyu angalia mwaka 2004 halafu utaangalia 2009 hali kadhalika angalia 2014 kunatofaut kubwa sn tumevunja ngome nying sn sasa ukisema hujaona na wakati unaona tunapasua bac utakuwa umekalia msumar wa moto Pumbafu zenu kbs na mshukuru wengi wenu mmeshinda kwa Mapingamiz tu
 
Back
Top Bottom