zaleo
JF-Expert Member
- Dec 6, 2011
- 1,902
- 766
Punguani mazuzu ndio wanaopata hela ya kuhongwa. Lowasa atapigiwa kura na wenye kuelewa uwezo wake na sio mafisadi uchwaraMagufuli Oyeee. Hata sisi UKAWA tunamkubali bali Mzee Lowassa tunamzuga ili tule hela yake anayoturudishia kiaina. Upo hapo