Kaptula la Marx
JF-Expert Member
- May 10, 2015
- 981
- 449
Serikal kupitia waziri wa Afrika Mashariki Mh. Samwel Sitta ameomba mdahalo na aliyekuwa waziri mkuu Edward Lowassa ili wabishane kwa hoja juu ya UHUSIKA wa sakata la RICHMOND.
sijawah kuona popote duniani kumuomba mhalifu anayetuhumiwa mdahalo ili mbivu na mbichi zijulikane, kama waziri SITTA anajua lowasa ni mwizi jukwaa la mdahalo sio suluhu, suluhu ni kumkamata na kumpeleka MAHAKAMANI! kwani kupelekwa mahakaman mpk uwe mwizi wa kuku tu? mbona hatujawah kusikia waziri akiomba mdahalo na mwizi wa simu?
kwanini wanaleta siasa kwenye mambo nyeti kwa TAIFA?
mh. waziri ni mwanasheria kitaaluma, na kwa hili ni kuidhalilisha taaluma ya sheria, MHALIFU huwa anakamatwa na kupelekwa MAHAKAMANI ili haki itendeke.
Tumechoka kuwa nchi ya maajabu, kwasababu ushahidi upo tunaiomba serikali mtuhumiwa Huyo afikishwe court na Sio kutuletea sanaa watanzania.
sijawah kuona popote duniani kumuomba mhalifu anayetuhumiwa mdahalo ili mbivu na mbichi zijulikane, kama waziri SITTA anajua lowasa ni mwizi jukwaa la mdahalo sio suluhu, suluhu ni kumkamata na kumpeleka MAHAKAMANI! kwani kupelekwa mahakaman mpk uwe mwizi wa kuku tu? mbona hatujawah kusikia waziri akiomba mdahalo na mwizi wa simu?
kwanini wanaleta siasa kwenye mambo nyeti kwa TAIFA?
mh. waziri ni mwanasheria kitaaluma, na kwa hili ni kuidhalilisha taaluma ya sheria, MHALIFU huwa anakamatwa na kupelekwa MAHAKAMANI ili haki itendeke.
Tumechoka kuwa nchi ya maajabu, kwasababu ushahidi upo tunaiomba serikali mtuhumiwa Huyo afikishwe court na Sio kutuletea sanaa watanzania.