ndege JOHN
JF-Expert Member
- Aug 5, 2015
- 23,706
- 57,202
Habari ndugu,
Maada hi ilipaswa iwe jukwaa la inteligensia lakini naomba mods muiache hapa watakaoelewa na waelewe..na
Ili kunielewa mada yangu naomba usilete ushabiki u ccm na u chadema uweke kando kuwa kama mtu mwenye fikra huru..mwanzo nilijua kifungo kibaya kwa mwanadamu ni dini pekee ipo kwa ajili ya wachache kunufaika uwongo mwing ndani yake,nisigusie sana kuhusu dini ili kuepusha kuchokoza watu kiimani
Kifungo cha pili alichoweza kufungwa binadamu ni siasa...tumefanywa mitaji na binadamu wenzetu hivi vyama vinaendeshwa na watu kama sisi na tunajua watu tuna sifa za unafki,tamaa,uwongo kama wewe usivo na huruma na wengne basi tambua hata huyo unayemwona mchapakazi au mkombozi vile vile ni binadamu na anajionea huruma yeye kuliko anavyokuonea wewe
unajua siasa ina mambo mengi wananchi sasa hivi hatufanyi reasoning tumeishia kutumika kama mitaji ya wanasiasa
Leo hii tunawashabikia viongozi wa ccm au wa ukawa tunajifanya hatuoni kama wenyewe wako pale/watakuwepo kwa ajili ya maisha yao,familia zao na koo zao..tupo kama misukule
Inauma sana great thinker amefanywa kama mtumwa chini ya tajiri lowasa au mbowe tunajifanya hatuoni kama wale wanapesa/wanataka pesa kama kweli wangekuwa na nia na huruma na wananch kwanini wasituambia sera zao wazi ni lini rasilimali zetu zitakuwa chini ya serikali watakayounda,tumeishia kuwashabikia.ndugu zangu wale hawana uzalendo
Ukirudi kwa upande wa ccm ndo matatizo matupu najuta kuzaliwa tanzania nchi hi wanafaidika wachache kama kweli kina kikwete na magufuli wangekuwa na huruma wangewezaje kuwatazama maskini wa kutupwa vijijini ilihali hata mlo hawapati..tunaona tumeletewa maendeleo kumbe ndo wananufaika wenyewe mfano eti mtu anaisifia serikali ya ccm imemsaidia yeye sasa iv ana smartphone hajiulizi kama amenunua hvo amenufaisha mtengenezaji na mtengenezaji naye kamuwezesha mwanasiasa kisha anaekewa mifumo inayomkinda..siasa bwana unafurahia serikali ya ccm eti imejenga barabara unasahau kama ni kwa pesa zako unasahau pia kama hzo barabara ni kwa ajili ya kuwarahisishia kupitisha mizigo yao ambayo wanakuuzia tena kwa pesa yako
Tusidanganyane siasa ni mchezo unaocheza na akili ya binadamu,sisi ni watumwa tunashangilia maigizo ya binadamu wenzetu ambao hawatupi elimu ili tuendelee kuwa wapumbavu
Hakuna atakaye kuja kutukomboa only strong ndo wata survive wengne tutaendelea kulalamikiwa na vizazi vinavokuja kwa maamuzi tunayofanya sasa kwa ushabiki..watoto wetu watakuja kushangaa kwa nini tulisikiaga kuwa kuna watu walichota mabilion lakini hawaulizwa?watoto wetu watakuja kushangaa mmoja wapo wa anayesemakana fisadi anashangiliwa kwanini tunajisahaulisha mapema hivi?binadamu tuna tatizo gani?
Ccm mmetupoteza mpaka wasomi na watu wanajiita watakatifu(viongozi wadini)mme wanununua hivo hivo pia kwa upinzani mnadanganya mpaka ma great thinker humu ndani wanawashabikia..jibu ni kuwa na nyie mnadanganya na wazungu (wawekezaji) kwa kupewa uwongo kisha mnatapeliwa ,siasa mfumo wa kijinga sana mtu kweli unajikuta unamshabikia mwizi au yule ambaye sio mwizi unamwona hafai
Taifa hili linachekesha,viongozi wote wanachekesha,wananchi mnachekesha hivi mnadhani wale waarab wanavofanya vita kulinda rasilimali mnadhani wanakosea..walioiba mabilioni wanaonekana wazuri
UKAWA MMEONEKANA MNAWEZA KULETA MABADILIKO WANAYOTAKA WATU LAKINI JE MBONA KUNA MAMBO HAMUWEKI SAWA?NI KIVIPI MTAZUIA MAKAMPUNI KUMILIKI RASILIMAL ILA TAIFA NDO LIMILIKI KILA KITU AU NDO YATAKUWA KAMA CCM KUACHIA WATU WAVUNE MADINI?WAZUNGU WATU WABAYA SANA
Ukawa ningewaona wa maana kama mnge utangazia umma kuwa mkishka nchi rasilimal zitalindwa nyie mnasubiri mpaka siku ya kufungua kampeni ili mkusanye watu wengi lengo ni kuwa lipiza ccm?ETI LEO SIASA ZA TANZANIA ZINABEBWA NA MISAMIATI YA KITOTO MFANO KILA CHAMA KINATAKA KIPATE MAFURIKO siasa za majitaka sana
Embu jiulize kwani kampeni zikifunguliwa kwenye ukumbi mfano mlimani city hazitafunguka?
MY TAKE:NAJUA WENGI MTANIDHARAU KWAMBA NIMEANDIKA ULOFA LAKINI LAZIMA TUJUE KUWA SISI TUNASHABIKIA UTUMWA CHINI YA BINADAMU WENZETU KIPINDI TUNARUSHIANA VIJEMBE JUU YA VISIVYO NA UMUHIMU KULE WENGNE WANAKULA VIZURI WENGNE VBY
Nimejitoa rasmi kwenye ushabiki nataka niwe mtu huru kichwan nibaki na vitu vya msing vinavyonihusu mimi moja kwa moja
USHABIKI UNAKWENDA KUHARIBU TAIFA MTANIAMBIA
Waasalam
Maada hi ilipaswa iwe jukwaa la inteligensia lakini naomba mods muiache hapa watakaoelewa na waelewe..na
Ili kunielewa mada yangu naomba usilete ushabiki u ccm na u chadema uweke kando kuwa kama mtu mwenye fikra huru..mwanzo nilijua kifungo kibaya kwa mwanadamu ni dini pekee ipo kwa ajili ya wachache kunufaika uwongo mwing ndani yake,nisigusie sana kuhusu dini ili kuepusha kuchokoza watu kiimani
Kifungo cha pili alichoweza kufungwa binadamu ni siasa...tumefanywa mitaji na binadamu wenzetu hivi vyama vinaendeshwa na watu kama sisi na tunajua watu tuna sifa za unafki,tamaa,uwongo kama wewe usivo na huruma na wengne basi tambua hata huyo unayemwona mchapakazi au mkombozi vile vile ni binadamu na anajionea huruma yeye kuliko anavyokuonea wewe
unajua siasa ina mambo mengi wananchi sasa hivi hatufanyi reasoning tumeishia kutumika kama mitaji ya wanasiasa
Leo hii tunawashabikia viongozi wa ccm au wa ukawa tunajifanya hatuoni kama wenyewe wako pale/watakuwepo kwa ajili ya maisha yao,familia zao na koo zao..tupo kama misukule
Inauma sana great thinker amefanywa kama mtumwa chini ya tajiri lowasa au mbowe tunajifanya hatuoni kama wale wanapesa/wanataka pesa kama kweli wangekuwa na nia na huruma na wananch kwanini wasituambia sera zao wazi ni lini rasilimali zetu zitakuwa chini ya serikali watakayounda,tumeishia kuwashabikia.ndugu zangu wale hawana uzalendo
Ukirudi kwa upande wa ccm ndo matatizo matupu najuta kuzaliwa tanzania nchi hi wanafaidika wachache kama kweli kina kikwete na magufuli wangekuwa na huruma wangewezaje kuwatazama maskini wa kutupwa vijijini ilihali hata mlo hawapati..tunaona tumeletewa maendeleo kumbe ndo wananufaika wenyewe mfano eti mtu anaisifia serikali ya ccm imemsaidia yeye sasa iv ana smartphone hajiulizi kama amenunua hvo amenufaisha mtengenezaji na mtengenezaji naye kamuwezesha mwanasiasa kisha anaekewa mifumo inayomkinda..siasa bwana unafurahia serikali ya ccm eti imejenga barabara unasahau kama ni kwa pesa zako unasahau pia kama hzo barabara ni kwa ajili ya kuwarahisishia kupitisha mizigo yao ambayo wanakuuzia tena kwa pesa yako
Tusidanganyane siasa ni mchezo unaocheza na akili ya binadamu,sisi ni watumwa tunashangilia maigizo ya binadamu wenzetu ambao hawatupi elimu ili tuendelee kuwa wapumbavu
Hakuna atakaye kuja kutukomboa only strong ndo wata survive wengne tutaendelea kulalamikiwa na vizazi vinavokuja kwa maamuzi tunayofanya sasa kwa ushabiki..watoto wetu watakuja kushangaa kwa nini tulisikiaga kuwa kuna watu walichota mabilion lakini hawaulizwa?watoto wetu watakuja kushangaa mmoja wapo wa anayesemakana fisadi anashangiliwa kwanini tunajisahaulisha mapema hivi?binadamu tuna tatizo gani?
Ccm mmetupoteza mpaka wasomi na watu wanajiita watakatifu(viongozi wadini)mme wanununua hivo hivo pia kwa upinzani mnadanganya mpaka ma great thinker humu ndani wanawashabikia..jibu ni kuwa na nyie mnadanganya na wazungu (wawekezaji) kwa kupewa uwongo kisha mnatapeliwa ,siasa mfumo wa kijinga sana mtu kweli unajikuta unamshabikia mwizi au yule ambaye sio mwizi unamwona hafai
Taifa hili linachekesha,viongozi wote wanachekesha,wananchi mnachekesha hivi mnadhani wale waarab wanavofanya vita kulinda rasilimali mnadhani wanakosea..walioiba mabilioni wanaonekana wazuri
UKAWA MMEONEKANA MNAWEZA KULETA MABADILIKO WANAYOTAKA WATU LAKINI JE MBONA KUNA MAMBO HAMUWEKI SAWA?NI KIVIPI MTAZUIA MAKAMPUNI KUMILIKI RASILIMAL ILA TAIFA NDO LIMILIKI KILA KITU AU NDO YATAKUWA KAMA CCM KUACHIA WATU WAVUNE MADINI?WAZUNGU WATU WABAYA SANA
Ukawa ningewaona wa maana kama mnge utangazia umma kuwa mkishka nchi rasilimal zitalindwa nyie mnasubiri mpaka siku ya kufungua kampeni ili mkusanye watu wengi lengo ni kuwa lipiza ccm?ETI LEO SIASA ZA TANZANIA ZINABEBWA NA MISAMIATI YA KITOTO MFANO KILA CHAMA KINATAKA KIPATE MAFURIKO siasa za majitaka sana
Embu jiulize kwani kampeni zikifunguliwa kwenye ukumbi mfano mlimani city hazitafunguka?
MY TAKE:NAJUA WENGI MTANIDHARAU KWAMBA NIMEANDIKA ULOFA LAKINI LAZIMA TUJUE KUWA SISI TUNASHABIKIA UTUMWA CHINI YA BINADAMU WENZETU KIPINDI TUNARUSHIANA VIJEMBE JUU YA VISIVYO NA UMUHIMU KULE WENGNE WANAKULA VIZURI WENGNE VBY
Nimejitoa rasmi kwenye ushabiki nataka niwe mtu huru kichwan nibaki na vitu vya msing vinavyonihusu mimi moja kwa moja
USHABIKI UNAKWENDA KUHARIBU TAIFA MTANIAMBIA
Waasalam