Hapa tutatumia akili mambo ya kufuata Mkumbo ndio yanaleta taabu kwetu, ukawa wamevurunda kabisa tena wameboa, urais kwa sasa hawana sifa ni ubunge pia udiwani hapo vizuri sana
Hapa tutatumia akili mambo ya kufuata Mkumbo ndio yanaleta taabu kwetu, ukawa wamevurunda kabisa tena wameboa, urais kwa sasa hawana sifa ni ubunge pia udiwani hapo vizuri sana
Sawa sawa nimekuelewa
Kuna mtu humu ndani amewah kuniambia kuwa lowasa hana falsafa ataongoza kwa mazoea yale yale kama ccm
Leo ndo nimeamini nakaribia kulithibitisha hilo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.