UKAWA wazuiwa kufanya mkutano Jangwani na Uwanja wa Taifa

Je huyo mtu mwingine aliye-book huo uwanja ni siri hivyo jamani...hata kwa intelijinsia nzima ya ukawa? au kwa sisi wapenda mabadiliko hatuwezi kuulizana huku mitaani jamani tukajua ni nani hao wana mpango wa kutumia huo uwanja jumamosi? Na je huyo mtu mwenye hiyo shughuli hapo jangwani ni shughuli ya aina gani hiyo ambayo mpaka sasa hajaitangaza kwenye mabango????? ni shughuli ya kimyakimya??
 
Aisee....Huku sasa ni kuminya demokrasia...

Kama mamlaka wa jiji hawana mamlaka juu ya uwanja wa Jangwani, kwanini CDM walienda kuwaomba ruhusa ya kutumia uwanja huo in the first place?

Kwanini UKAWA wasingebook huo uwanja mapema?...Je wanaosadikiwa kupewa uwanja huo ni chama cha siasa kingine au kikundi fulani kwa ajili shughuli nyingine tofauti na siasa?

Nimesikia kuwa UKAWA wanamsikilizia Lubuva, hii tume ndio hiyo iliyotoa amri kuwa Lowassa asitembelee makundi ya watu kwa sababu ya kuwa na 'sura ya kampeni'.....Hivi kuna uwezekano wa kupata haki huko?

Naamini Tume ya Uchaguzi inaelewa mchezo mzima...na kuwa Tume na Jiji lao moja...wote wanapata maagizo kutoka 'mamlaka ya juu'....naenda mbali kuamini kuwa Tume, Jiji, Polisi, Usalama wa taifa wote lao moja....Kubana 'mabawa' ya Upinzani....

Katika mazingira hayo kuna uwezekano kweli wa CDM kupewa uwanja huo?...


Mkuu Uwanja haupo chini ya Jiji na waliozuiya mkutano ni Halmashauri ya Manispaa ya Ilala
 
Sisi wala hatuna tatizo, tutawasubiri tu kwa roho kwatu, msiingie mtego wa ccm wa kutokufanya mkutano pale kwa kuogopa nyomi yetu ambayo itafunga matumizi ya bararara ya morogoro. Sababu maamuzi ya kuiondoa CCM tulikwisha fanya kitambo sana. Magufuli yeye ni kama anatupigia mbuzi gitaa tu na viahadi vyake vya uongo uongo visivyotekelezeka katika mfumo dhalimu na uliokosa maono wa ccm.

Wadau mnasemaje???

Siku zinaenda mdau.
 
Ratiba ya kampeni za uraisi kwa vyama vyote muda, siku, tarehe na mahali itakapofayika yameshaidhinishwa tayari na tume ya uchaguzi na kuridhiwa na vyama vyote. Ni uwendawazimu tu wa wachache kuwa eti kiwanja kimna matumizi mengine.

Sasa kama ni ivo kwa nini walinyima uwanja wa taifa serikali? Tatizo Chadema wanafanya vitu vya kilofa sana. Maana hawaeleweki. Walisema jumamossi tar 22 hawakwenda.
 
Hatuna muda wa kusubiria....lazima uzinduzi ufanyike haraka na ratiba zingine ziendelee kama kawaida...patachimbika...pumbavu zenu kabisa ninyi CCM
 
Ni kweli kabisa tafuteni sehemu nyingine anzieni moshi au Arusha si lazima Dar kwanza mna hatarisha amani!View attachment 280563

kheri yenu ninyi wenye nchi ihi, lakini mtakuja kujuta na kulia kilio cha gadafi na mtoto wake,

ambao hao walijimilikisha libya na kuifanya mali yao lakini leo hukumu ipo juu yao na vizazi vyao,

seif islam anasubiri kunyongwa, jifunzeni kwa walio kosea mpate kujifunza ndugu zangu, msiichezee amani ihi iliyotafutwa kwa gharama kubwa na wazee wetu,

nchi inapo chafuka sisi hatunapa kukimbilia, hata wewe unae shabikia wenzako kukandamizwa na hao unao washabikia utabaki hapa hapa nahao unaowashabikia watapanda ndege na kukumbia huku wewe ukiangamia, kama wewe ni mzima wa akili aya yakuingie na uyatafakari usiku na mchana,
 
kuomba Kumbi za mikutano au viwanja vya kufanyia shughuli hutakiwa kuombwa mapema sababu ni maeneo ya shughuli nyingi.

CHADEMA waliandika barua tarehe 22/8/2015 siku isiyo ya kazi wakakaa nayo jumapili wakaipeleka siku ya tarehe 24/8/2015 kuomba kufanya tarehe 29/8/2015.Walichelewa wakaKuta mwingine kachukua.Hata kumbi tu za mahoteli huwezi omba kipindi kifupi hivyo ukapata

Ushahidi hii barua hii waliyojibiwa.


attachment.php
 
Sisi wala hatuna tatizo, tutawasubiri tu kwa roho kwatu, msiingie mtego wa ccm wa kutokufanya mkutano pale kwa kuogopa nyomi yetu ambayo itafunga matumizi ya bararara ya morogoro. Sababu maamuzi ya kuiondoa CCM tulikwisha fanya kitambo sana. Magufuli yeye ni kama anatupigia mbuzi gitaa tu na viahadi vyake vya uongo uongo visivyotekelezeka katika mfumo dhalimu na uliokosa maono wa ccm.

Wadau mnasemaje???
Unajaribu kupunguza mafuriko kwa ulimi siyo. Mkutano ni kama ulivyopangwa na hakuna wa kubadilisha, ila nakupongeza kidogo wewe una kaelimu ka uspindoctor.
 
kuomba Kumbi za mikutano au viwanja vya kufanyia shughuli hutakiwa kuombwa mapema sababu ni maeneo ya shughuli nyingi.Chadema waliandika barua tarehe 22/8/2015 kuomba kufanya tarehe 29/8/2015.Walichelewa wakauta mwingine kachukua.Hata kumbi tu za mahoteli huwezi omba kipindi kifupi hivyo ukapata

Ushahidi hii barua hii waliyojibiwa


attachment.php


Kwa hiyo ?
 
kuomba Kumbi za mikutano au viwanja vya kufanyia shughuli hutakiwa kuombwa mapema sababu ni maeneo ya shughuli nyingi.Chadema waliandika barua tarehe 22/8/2015 kuomba kufanya tarehe 29/8/2015.Walichelewa wakauta mwingine kachukua.Hata kumbi tu za mahoteli huwezi omba kipindi kifupi hivyo ukapata

Ushahidi hii barua hii waliyojibiwa


attachment.php

Paka hutumwa tu ila mchawi ni binadamu
 
Hivi chadema jumamosi ni official day au ni barua tu iliandikwa kwa dharura

Hiyo barua iliandikwa siku ambayo si ya kazi jumamosi.Wakakaa nayo ofisini na siku ya pili ambayo si ya kazi ambayo ni jumapili.Kwa hiyo kama ni kupeleka ofisi za jiji walipeleka jumatatu tarehe 24/8/2015 wakitaka kufanya mkutano tarehe 29/8/215.Ukumbi au uwanja gani utaupata kwa short notice hivyo kwa Dar es salaam?
 
Back
Top Bottom