Ukawa wasipojiangalia watakosa mgombea

Ukawa wasipojiangalia watakosa mgombea

Mie sizungumzii hiyo sheria lakini nahisi Lowassa anajiwakilisha yeye,sina.hakika kama anajua yupo chini ya mwamvuli wa ukawa,maana hata wakati wa hotuba yake pale mlimani city,nilimkariri akisema mmekijenga chama....na.yeye kuwa kama.independent,ndo madhara ya kukaribisha mtu direct chumbani ukikuta anajisaidia juu ya kitanda usimlaum kwani inakuwa ugen hajajua wapi chooni,sass ndo Edo hata kusema peoplesssss mpeleken tuition sana,maana Magufuli anajua zaidi yake kusema CCM oyeeeeee hahahhaha ni mawazo yangu nisichukiwe
 
Mie sizungumzii hiyo sheria lakini nahisi Lowassa anajiwakilisha yeye,sina.hakika kama anajua yupo chini ya mwamvuli wa ukawa,maana hata wakati wa hotuba yake pale mlimani city,nilimkariri akisema mmekijenga chama....na.yeye kuwa kama.independent,ndo madhara ya kukaribisha mtu direct chumbani ukikuta anajisaidia juu ya kitanda usimlaum kwani inakuwa ugen hajajua wapi chooni,sass ndo Edo hata kusema peoplesssss mpeleken tuition sana,maana Magufuli anajua zaidi yake kusema CCM oyeeeeee hahahhaha ni mawazo yangu nisichukiwe

mlimani city ilikua ni chadema convention,ukawa ni marafiki shirikishi so hakukosea
 
Hizi porojo sijui nani kazianzisha leo; usije kushangaa watu mitaani wameishia kubishana juu ya hili.
 
Hivi vyama vinavyounda Umoja wa katiba wa wananchi visiposoma vizuri katiba ya nchi hii ikifika mwisho wa siku tutajikuta tunachagua magufili VS kivuli.
Hii ni kutokana na sheria ya uchaguzi inavyosema kuwa mgombea ana anapaswa kuwa mwanachama wa chama husika kwa muda usiopungua miezi mitatu kabla ya kuanza mchakato wa kuchukua form ya kugombea nafasi ya uongozi kupitia chama hicho. Mgombea wa UKAWA sidhani kama ata kuwa amekidhi vigezo hivyo ni dhahiri mwisho wa siku UKAWA wakajikuta hawana mgombea heri wamrudishe Dr. Slaa ulingoni.
Wote tunapenda mageuzi tujitahidi kulitafakari hili tuone suluhu itakuwa ni nini ili mwisho wa siku tusije kunaswa kwenye mtego wa CCM
Hivi kuna shida yoyote Lowassa na Duni kupewa kadi nyingine zinazoonyesha walijiunga mwaka jana? Kwani ukijiunga na chama unajiandikisha kwenye daftari ya Tume? Asante kwa kutufunua macho na hili litarekebishwa tu CDM ni watu makini
 
Ina maana mmekosa kitu kingine cha kumshtaki Lowasa zaidi ya hilo? Huyu jamaa ni fisadi mpelekeni mahakamani
 
Mleta mada ni boya unadhan kina lembeli na wengi hawajui sifa za kugombea
 
naisihi unamaanisha prospectively ndo sheria inaact na cyo retrospectively. kwa msaada retrospectively affects from previously bt the former affects from the date effected and next events thereafter.



hata kama wakifanya hivo haisaidii sheria inaact retrospectively na sio atrospectively,yani huwezi tunga sheria Leo ili umbane alofanya tendo jana ambalo sheria hiyo inalitambua kama kinyume,hivo watabanwa kuanzia sheria hiyo itakapopewa makali kuanzia ilipotangazwa
 
Hapa inaonyesha lowassa ananguvu kubwa ya kisiasa maana kila siku tunasikia mapya
 
Hivi vyama vinavyounda Umoja wa katiba wa wananchi visiposoma vizuri katiba ya nchi hii ikifika mwisho wa siku tutajikuta tunachagua magufili VS kivuli.
Hii ni kutokana na sheria ya uchaguzi inavyosema kuwa mgombea ana anapaswa kuwa mwanachama wa chama husika kwa muda usiopungua miezi mitatu kabla ya kuanza mchakato wa kuchukua form ya kugombea nafasi ya uongozi kupitia chama hicho. Mgombea wa UKAWA sidhani kama ata kuwa amekidhi vigezo hivyo ni dhahiri mwisho wa siku UKAWA wakajikuta hawana mgombea heri wamrudishe Dr. Slaa ulingoni.
Wote tunapenda mageuzi tujitahidi kulitafakari hili tuone suluhu itakuwa ni nini ili mwisho wa siku tusije kunaswa kwenye mtego wa CCM

Unge-quote hiyo sheria. Niko interested niisome.
 
Yaani wewe unajua sheria na kanuni zaidi ya T A Lissu? Muulize mwanasheria mkuu wa magamba atakupa habari zake... anaendaga tuition kwa Lissu!
 
Hiyo sheria ni ya ccm pekee.. na ni miezi sita nadhani kama sikosei.. Ya Tanzania ni hii...
 
Ya Tanzania. .
 

Attachments

  • 1438838902276.jpg
    1438838902276.jpg
    60 KB · Views: 301
Hivi vyama vinavyounda Umoja wa katiba wa wananchi visiposoma vizuri katiba ya nchi hii ikifika mwisho wa siku tutajikuta tunachagua magufili VS kivuli.
Hii ni kutokana na sheria ya uchaguzi inavyosema kuwa mgombea ana anapaswa kuwa mwanachama wa chama husika kwa muda usiopungua miezi mitatu kabla ya kuanza mchakato wa kuchukua form ya kugombea nafasi ya uongozi kupitia chama hicho. Mgombea wa UKAWA sidhani kama ata kuwa amekidhi vigezo hivyo ni dhahiri mwisho wa siku UKAWA wakajikuta hawana mgombea heri wamrudishe Dr. Slaa ulingoni.
Wote tunapenda mageuzi tujitahidi kulitafakari hili tuone suluhu itakuwa ni nini ili mwisho wa siku tusije kunaswa kwenye mtego wa CCM

mbona unakimbia kama umebanwa na mharo!? weka vitu vinavyoeleweka.
 
Teh teh ni kweli kabisa mgeni siku ya kwanza tu huyoo hadi chumbani nini lakini? wanamwanije huyo jamaa? atakiharibu chama, atagombanisha ukawa hadi wakae sawa
 
CDM haitoweza kumcontain Lowassa hata siku moja na yeye anajua haitaji chama kwani anaamini ana pesa yake na watu wake wa kutisha ..daima atakuwa juu ya chana na ataongoza kwa staili ile ile ya asiyenitaka ahame ..CDM wamebugi sana
 
Hivi vyama vinavyounda Umoja wa katiba wa wananchi visiposoma vizuri katiba ya nchi hii ikifika mwisho wa siku tutajikuta tunachagua magufili VS kivuli.
Hii ni kutokana na sheria ya uchaguzi inavyosema kuwa mgombea ana anapaswa kuwa mwanachama wa chama husika kwa muda usiopungua miezi mitatu kabla ya kuanza mchakato wa kuchukua form ya kugombea nafasi ya uongozi kupitia chama hicho. Mgombea wa UKAWA sidhani kama ata kuwa amekidhi vigezo hivyo ni dhahiri mwisho wa siku UKAWA wakajikuta hawana mgombea heri wamrudishe Dr. Slaa ulingoni.
Wote tunapenda mageuzi tujitahidi kulitafakari hili tuone suluhu itakuwa ni nini ili mwisho wa siku tusije kunaswa kwenye mtego wa CCM

Unaikimbia thread yako mwenyewe,,hehheee,,,,, quote hiyo sheria weka hapa then uandike huu uppuuz,,,Acha kukurupuka kamA WildBeast.... kwan mpaka muanzishe thread ??? Ndo maana mliambiwa kama hamna ushahidi shut up!!!
 
Hivi vyama vinavyounda Umoja wa katiba wa wananchi visiposoma vizuri katiba ya nchi hii ikifika mwisho wa siku tutajikuta tunachagua magufili VS kivuli.
Hii ni kutokana na sheria ya uchaguzi inavyosema kuwa mgombea ana anapaswa kuwa mwanachama wa chama husika kwa muda usiopungua miezi mitatu kabla ya kuanza mchakato wa kuchukua form ya kugombea nafasi ya uongozi kupitia chama hicho. Mgombea wa UKAWA sidhani kama ata kuwa amekidhi vigezo hivyo ni dhahiri mwisho wa siku UKAWA wakajikuta hawana mgombea heri wamrudishe Dr. Slaa ulingoni.
Wote tunapenda mageuzi tujitahidi kulitafakari hili tuone suluhu itakuwa ni nini ili mwisho wa siku tusije kunaswa kwenye mtego wa CCM

Kuna Watanzania wapumbavu sana kama wewe
 
Wote mnaonitukana mtanikumbuka, badala ya kulitendea kazi nyie mnaanza kupaniki? Fanyia kazi hiyo kitu ili msikose mgombea, Nyie nae vipi?
Kwa kweli mi huu mwaka wala siupendi, naon atu nachisha akili yangu kufikiria mambo mengiiiii ya nchi
 
Back
Top Bottom