jingalao
JF-Expert Member
- Oct 12, 2011
- 35,053
- 28,245
Hatimaye lile genge la wahuni la UKAWA limeshindwa kuelewana katika uchaguzi wa marejeo wa Udiwani na hivyo kila Chama kimesimamisha mgombea katika kila kata.
Hii ni green light kwa CCM na Sina wasiwasi kuwa CCM inaenda kuchukua kata zote yaani ushindi wa kishindo.
Hii ni green light kwa CCM na Sina wasiwasi kuwa CCM inaenda kuchukua kata zote yaani ushindi wa kishindo.