Uchunguzi wa kipolisi ulionesha kuwa wangeweza kubondwa na mawe make hawatakiwi kabisa kule kigoma badala yake anatakiwa zitto siyo ukawa wala chama cha kilaghai cha chadema.
Bora hata yangekuwa makelele hivi hivi, ni makelele yanayoambatana na matusi, kashfa na kejeli za kila aina ambazo kimsingi hata hazihusiani na ujenzi wa katiba mpya.
Bora hata yangekuwa makelele hivi hivi, ni makelele yanayoambatana na matusi, kashfa na kejeli za kila aina ambazo kimsingi hata hazihusiani na ujenzi wa katiba mpya.
Watawanyima na Sehemu nyengine, ni mwanzo tu huo wa kuwazuilia Mikutano, Mbona ccm wanafanya bila ya kuzuiwa na Polisi?
Tunatarajia mambo haya yatafika mwisho kwa uwezo wa Mungu.
Polisi Kigoma, kutafuta cheo kwa staili hiyo, ni mbinu ya kizamani wakati wa Mahita, siku hizi haifanyi kazi, imepitwa na wakati. Wenzenu Musoma na Mbeya wanaruhusu mpaka maandamano ya UKAWA, ninyi huko magazeti hayafiki nini????? Shame !!!!!!