mbowe ni nani mpaka awe na imani na tume ya uchaguzi? sisi wananchi ndio tunatakiwa kusema kua hatunaimani na tume kwasababu kura tume wanazohesabu sio za mbowe wala ccm ni zakwetu wananchi na kwanini mbowe anatishia tishia nchi kitoto hivi?serikali ipo wapi?????
mbatia alikwenda bungeni ni mjumbe wa kamati ya bajeti, swali?
Kiongozi mbona unakuwa kidaka Tonge. Kama unasema "mimi" kwa kusema oktoba kuna mabadiliko nakosea kwani sina mamlaka ya kuwasemea watu (na nafsi zao). Kwani wewe kwa kukataa huwasemia watu? Maana wewe ni mtu 1 wengine unauhakika ganikama wapo na wewe? Punguza kula maharage.
Watupe orodha ya majimbo waliyogawana NCCR ,CUF na NLD wamepata mangapi,waache kupiga piga chenga
kwani mowekabla hajawa chadema alikua wapi?kura moja haiwezi tishia mamilioni ya kura za watanzania hatuna matatizo na tume ya uchaguzi kama kura zako hazitoshi hawawezi sema zinatosha so akae kimya.......!Kwani Mbowe sio mwananchi? Na unafikiri Mbowe hapigi kura? Serekali unayotaka imtishie Mbowe ndio hiyo hiyo imeshindwa kutaja majina ya watu waliochukua fedha za Escrow katika bank ya Stanbic kwa marumbesa kinyume na sheria za nchi na bado haijawataja.
kwani mowekabla hajawa chadema alikua wapi?kura moja haiwezi tishia mamilioni ya kura za watanzania hatuna matatizo na tume ya uchaguzi kama kura zako hazitoshi hawawezi sema zinatosha so akae kimya.......!
Hahahaa Mzee Makaidi kanichekesha sana,
mbowe ni nani mpaka awe na imani na tume ya uchaguzi? sisi wananchi ndio tunatakiwa kusema kua hatunaimani na tume kwasababu kura tume wanazohesabu sio za mbowe wala ccm ni zakwetu wananchi na kwanini mbowe anatishia tishia nchi kitoto hivi?serikali ipo wapi?????
mkuu unamaanisha "wetu"sisi" wengine hatuna viongozi humu usiusemee moyo wa mtu.....!ukawa sera yao ni ccm sisi tunataka sera ya kulikomboa taifa sio sera ya kuzodoa ccm......!
Wewe na nani?kwani mowekabla hajawa chadema alikua wapi?kura moja haiwezi tishia mamilioni ya kura za watanzania hatuna matatizo na tume ya uchaguzi kama kura zako hazitoshi hawawezi sema zinatosha so akae kimya.......!
Mzee Makaidi: CCM hawana mgombea wote majanga! Ukimuweka huyu EPA, mwingine Escrow, mwingine Kagoda! Wote majanga
Hii imekaa safi sana hii!!
Kauli hii itawaumiza sana vichwa Lumumba na kuzidi kuwachanganya.
Mzee Makaidi: CCM hawana mgombea wote majanga! Ukimuweka huyu EPA, mwingine Escrow, mwingine Kagoda! Wote majanga
Hii imekaa safi sana hii!!
Slaa ndio mgombea, mwenza ni Lipumba.
Wewe na nani?
Na hawa hapa?
Ukawa watuambie kwa nini jana Mbatia na wajumbe wa NCCR Mageuzi walitoka nje ya kikao kwa hasira kabla hakijamalizika.