UKAWA wanachukua nchi kwa style hii

UKAWA wanachukua nchi kwa style hii

Matumizi ya mabilioni ya kurusha chopa hizo si ni heri tuahirishe uchaguzi tupeleke msaada kwa wagonjwa wanaokufa mahospitalini kwa kukosa huduma na dawa
Pesa za serikali jamaa anazunguka dunia hizo ndizo zilitakiwa kuelekezwa kwa wagonjwa
 
Lazima Mtumie Chopa Mnaona aibu Kuzunguka Nchi Nzima Kwa Gari Kwa Kuwa Mlishasema Ccm Haijafanya Chochote Wakati Tanzania Sasa Hivi Kuna Wide Connection Through Roads Zilizojengwa Chini Ya Usimamizi Wa Serikali Ya Ccm,kwa Kauli Zenu Wenyewe Mnajifunga Bakizeni Akiba Ya Maneno.....
Toa idadi ya watanzania wanapitisha magari kwenye hizo barabara. Halafu usisahau wenye biashara zinazotumia hizo barabara ni wakubwa wa CCM na jamaa zao. Ndiyo maana reli ya wanyonge imenyongwa.

MOD wa JF mnalo hata mkifinya tutaendelea kuchangia humu humu
 
Halafu we Babeli ata sio ukawa. Jitaje tu mi fisiem. Hiyo mipango ya makamanda imekaa poa sana siku30 sio nying ila zikitumiwa vizur lazima mambo yawe poa sana.
 
Jamani lazima tusema ukweli kwa maslahi ya nchi. Tusikae tunashabikia upumbavu eti chopa sijui kumi. Jamani jamani hivi tunawajali wananchi au atuwajali? . Tazama mshindani wetu amekwenda mwendo wa barabara na angalia idadi ya wananchi aliowafikia. Sisi tunajitapa na chopa. Upuuuzi gani huu. Wapo wanachama wetu kule mahospitalini hawana madawa wala hela ya kujitibu, inaonyesha hatuwajali sisi tunajali maslahi binafsi tu. Halafu tunajitapa tutatetea wanyonge. Wananchi wamezinduka msidhani hawana akili. Narudia kusema wananchi wameerevuka sana tofauti na tunavyofikiri. Tutaionja joto ya jiwe kwenye sanduku la kura

Ni upumbav.u kuwapa wapinzani kazi ya serikali! Hizo chopa zimelipiwa kutokana na fedha ya serikali? Hela iliyopotea kwenye BMK uliiona? Kwa nini hukupiga kelele? Hela iliyochotwa IPTL mbona hukupiga kelele? Tuache ujinga na ulofa!
 
Back
Top Bottom