PRINCE CROWN
JF-Expert Member
- Feb 12, 2013
- 5,210
- 4,182
sasa hivi makamanda tuna comment tu tukianzisha thread inafinywa!
jamiiforam imesha nunuliwa. Na ccm.
sasa hivi makamanda tuna comment tu tukianzisha thread inafinywa!
Hii ina maana JF ni kwa ajili ya CCM nini...tuelezeni mapema ili kama vipi TUJITOE Kwenye Forum yenu ya UBINAFSI PASINA HAKI....!!!!!!????
Upo sahihi kabisa jf siamin kipind iki ili wamiliki.mnatakiwa mjue kuna maisha baada ya uchaguzi.sasa hivi makamanda tuna comment tu tukianzisha thread inafinywa!
Hali ya uchumi baada ya uchaguzi itakuaje? Kutakua na hela benki kuu?
Hakuna shida; kama JF wamedhanunuliwa tutatumia njia nyingine k.v whattapp. Hata hivo Tumeshafanya maamuzi waTZ Asilimia 75. JF haiwezi kutubadilisha. PIPOOOOOZ.
Matumizi ya mabilioni ya kurusha chopa hizo si ni heri tuahirishe uchaguzi tupeleke msaada kwa wagonjwa wanaokufa mahospitalini kwa kukosa huduma na dawa
Mabilioni kwa Prof. Pumba, Dr. Mihogo, Mafuso/UDA za kuwafata & 10,000 za kuwakusanya wananchi, Mabango kila kona wakati mnajulikana etc. Au choteni kidogo tu ESCROW tatizo kwisha.
Kwanini viongozi wa upinzani wanakubali kununulika.?? Na je watatuhakikishia lini wataacha mchezo huo sasa ili wananchi warudishe matumaini na wawape dola ya kuongozaMabilioni yanayowanunua viongozi wa upinzani pamoja na rundo la wasanii huyaoni? tumia kichwa kufikiri
Jamani lazima tusema ukweli kwa maslahi ya nchi. Tusikae tunashabikia upumbavu eti chopa sijui kumi. Jamani jamani hivi tunawajali wananchi au atuwajali? . Tazama mshindani wetu amekwenda mwendo wa barabara na angalia idadi ya wananchi aliowafikia. Sisi tunajitapa na chopa. Upuuuzi gani huu. Wapo wanachama wetu kule mahospitalini hawana madawa wala hela ya kujitibu, inaonyesha hatuwajali sisi tunajali maslahi binafsi tu. Halafu tunajitapa tutatetea wanyonge. Wananchi wamezinduka msidhani hawana akili. Narudia kusema wananchi wameerevuka sana tofauti na tunavyofikiri. Tutaionja joto ya jiwe kwenye sanduku la kura
Matumizi ya mabilioni ya kurusha chopa hizo si ni heri tuahirishe uchaguzi tupeleke msaada kwa wagonjwa wanaokufa mahospitalini kwa kukosa huduma na dawa
Matumizi ya mabilioni ya kurusha chopa hizo si ni heri tuahirishe uchaguzi tupeleke msaada kwa wagonjwa wanaokufa mahospitalini kwa kukosa huduma na dawa
Kwanini viongozi wa upinzani wanakubali kununulika.?? Na je watatuhakikishia lini wataacha mchezo huo sasa ili wananchi warudishe matumaini na wawape dola ya kuongoza
Nataka kwenda Mahenge, ntapita kwenye lami ipi mpaka nifike Mahenge na Mlimba.Lazima Mtumie Chopa Mnaona aibu Kuzunguka Nchi Nzima Kwa Gari Kwa Kuwa Mlishasema Ccm Haijafanya Chochote Wakati Tanzania Sasa Hivi Kuna Wide Connection Through Roads Zilizojengwa Chini Ya Usimamizi Wa Serikali Ya Ccm,kwa Kauli Zenu Wenyewe Mnajifunga Bakizeni Akiba Ya Maneno.....
Sasa mambo yanakaribia kuiva ile safari ya uhakika nje ya CCM naona si muda mrefu mambo yatakuwa byeee.
Hiyo ni operation maalum iliyopewa jina toroka uje itakayopita kwenye kata na vijiji , makamanda wa ukombozi watasambaa nchi nzima ndani ya siku 30 vijijini ili kuhakikisha kwamba CCM wanaondoka madarakani oktoba 25.
Hizo chopa zimegawanyika kikanda Lindi , Mtwara na Pwani hii kanda ya pwani itabeba ujumbe okoa gesi yako sasa( itaongozwa na Tambwe Hiza , ) . Ruvuma, Mbeya na Iringa kanda ya kusini (itaongozwa na Sugu na Msigwa.) .
Kanda ya kati Dodoma , Singida na Morogoro ( itaongozwa na Lissu ) kanda ya ziwa itaongozwa na makamanda sita .
Kanda ya kaskazini itaongozwa na kamanda Ndesamburo akiwa na makamanda sita.
Kanda ya magharibi itaongozwa na Kafulila na kanda ya pwani kati yenye mikoa ya Dar na Tanga itaongozwa na Kubenea , Mnyika na Mdee.
Kazi ndio imeanza upya ndani ya hizi siku 30 tutegemee CCM kusambaratika zaidi.
UKAWA nimewakubali kwa mikakati yenu hii haina tofauti na ile ya uhuru kenyata katika kampeni zake siku 30 za mwisho alitia chopa kumi angani na wafanyakazi elfu nne kutoka kila Kijiji kilichopo Kenya na akashinda kwa kishindo kikubwa.