Raisi na viongozi wanaotafutwa wawe kutoka CCM au UKAWA bado watakuwa viongozi wetu wote watanzania.
Lakini CCM alikuwepo Ben Mkapa, akapiga miaka kumi, akafuata ,kikwete naye anaondoka lakini kwa miaka hiyo yote wapinzani wanaogombea nafasi za juu Majina ni yale yale.kama ndani ya vyama ufinyu wa demokrasia ni huo hivi kweli mkipewa nchi itakuwaje.
Pamoja na yote ambayo CCM wanatuhumiwa lakini UKAWA kubarini walau kuna jambo la kujifunza hapa
Lakini CCM alikuwepo Ben Mkapa, akapiga miaka kumi, akafuata ,kikwete naye anaondoka lakini kwa miaka hiyo yote wapinzani wanaogombea nafasi za juu Majina ni yale yale.kama ndani ya vyama ufinyu wa demokrasia ni huo hivi kweli mkipewa nchi itakuwaje.
Pamoja na yote ambayo CCM wanatuhumiwa lakini UKAWA kubarini walau kuna jambo la kujifunza hapa