UKAWA wamepoteza dira

UKAWA wamepoteza dira

Baada ya magufuli kutangazwa, wiki mbinu zile mlikuja na thredi ka hizi.
 
Tuko the masters of the game! Kwenye timu yenu ya kampeni tumeona wanafunzi tupu! Pale hakuna master! Mnamjazi pombe 40 papers badala ya 6?

Endelea kufuatilia mchezo, leo tupo day one mchezo unaendelea!

Nyie bana mawazo yenu mtapiga sana El akiwa rais,,,
karibu kila team el anawaza kupiga ,,,, nyie hatari sana.

Jambo jema ni kuwa atakatwa tena.
 
Ccm hawana ilani wana laana, ilani ya nini wakati hamjawai kuitumia, safari hii sijui mmeweka ugoro gani au unga wa kunguni maana kila kitu mnashindwa, mlikuja na ari zaidi nguvu zaidi, ikazama matumbuni mkavimbiwa na escrow, mabehewa feki, wizi wa mabilioni bandarini, tembo mkamaliza, twiga faru mkawapa lift ya kuzuru nchi ya qatar, vijana wetu wakakosa nguvu zaidi kwa kufakamia madawa yanayoletwa na wafadhili wa ccm. Mkauza celtel ya watanzania kwa airtel, sasa mnataka kuturudisha ujingani!! Lowasa atoshe wengine kwenye bahari mkapige mbizi mkishindwa muwe kitoweo cha samaki

Lowassa atakatwa kwa mara nyingine.
 
Hatimae kimelia pyeeeee!

Ok! Magamba poleni kwa kupoteana kwenye mchezo! Silaha zenu zipo hadharani, za ukawa hamzijui! Hili linawatesa sana! Mmeanza kupanic mapema! Hizi ni mbinu za kimichezo, bahati mbaya sana mgombea wenu sio mtu wa mikakati!

Tunakukumbusheni kuwa JK wenu tulimtia madarakani 2005! Anamjua Lowassa ni nani. Imefikiwa sehemu picha halisi anaziita photoshop! Its amazing! Endeleeni kufuatilia mchezo tafadhalini sana!
 
Kwa asiekumbuka, kinana alikuwa kampeni meneja wa kikwete 2010. Wote wanaofutilia siasa inaaminika Dr slaa alishinda na kuporwa ushindi wake! Leo tena kinana ndio kinara wenu, another failure again!
 
Tumeshinda jimbo moja tayari. Nyie vip
 
Kamanda relax!

mkuu 2po pa1 sana mkuu huku sisi tunaendeleza kipiga kazi na mzee ana uakika wa 100% kuingia ikulu

25 oct watatafuta shimo la kuingilia, vijana wamekasirika sana kwa kudharauliwa na walewa madaraka kwa kuitwa wanywa viroba,

yaani hapa tunafuraa sana maana kazi inaenda good,
 
watakoma sana stress hazitawaisha mwaka huu maana mgombea wao anazidi kutetemeka tu kama bloiler kazubaaaaa afya inazidi kutetereka kwa msongo wa mawazo #NA_BADO
 
Ilani, sera, mbiu ya mgambo na chochote unachotaka ni............CCM go out.

Hata UKAWA wasipofanya kampeni, mimi naikataa CCM
 
Stupidity of the highest magnitude! Miaka 54 mbali na kua na ilani hamjui sababu za umaskini uliokithiri. Ilani sio chakula!
 
Leo CHADEMA na umoja wao wa kichina, UKAWA wanazindua kampeni. Hata hivyo,

1. Mpaka sasa hawajatangaza wapi watazindua kampeni zao baada ya kuukosa uwanja mkuu wa taifa ambao walidhani unatumika kwa shughuli za kisiasa.

2. Mpaka wanaenda kuzindua kampeni, hawana Ilani ya Uchaguzi. Sijui wataenda kuwaambia nini wananchi. Naona wanaenda kupiga porojo tu.

3. Vyama washirika karibu vyote vimepoteza muelekeo. CUF mpaka sasa hawana Mwenyekiti baada ya Lipumba kujiuzulu. CHADEMA hawana Katibu Mkuu baada ya Dr Slaa kukaa pembeni.

4. Hawana agenda ya kuwabeba kisiasa. Agenda yao ya ufisadi imeingia kirusi baada ya kumteua fisadi kuwa mgombea Urais.

5. Makosa waliyofanya ya kuchelewa kutangaza wagombea ubunge yanawafanya waende kwenye kampeni wakiwa vipande vipande. Kule Bunda Mjini, Bulaya kakataliwa. Sikonge kwa Mkumba hali ni tege. Pia kuna majimbo mengi hali si shwari.

6.. Wakati viongozi wote wa Bunda wakijiuzulu, CHADEMA wamepanic na kutengeneza propaganda kuwa viongozi hao wapatao 11 wamefukuzwa kutokana na makosa mbalimbali. Hata hivyo ushahidi wa video umewaumbua na sasa wamepanic.

7. Mafuriko ya wana CCM waliyokuwa wanatarajia kuhamia CHADEMA mpaka sasa hayajajitokeza. Wamepanic

8. Wakati leo wanazindua kampeni, mpaka sasa hawana timu ya kampeni ya kitaifa. Wanasubiri maelekezo kutoka kwa Lowasa. Wamepanic. Ubora wa Timu ya kampeni ya CCM umewafanya wajitafakari upya

9. Mpaka wanaingia kwenye uchaguzi, CHADEMA, CUF na NCCR hawakuwa na bajeti ya uchaguzi. Wanategemea ufadhili wa Lowasa. Hata hivyo, mambo yanaonekana kwenda kombo kwake. Lowasa amesema kuwa hana uwezo wa kugharamia majimbo yote isipokuwa ataelekeza nguvu kwenye majimbo machache hasa ya maswahiba wake. CHADEMA wamepanic.

10. Uwezo mdogo wa Lowasa kujenga hoja umewapanikisha. Wamepanic kweli. Ndo maana kila anakoenda Lowasa lazima Mbowe na Mbatia wawepo. Yaani full kupanic. Nimeshangaa hata kurudisha fomu jana wote walienda. Wamechanganyikiwa.


Umepanic ndugu! Huwa mnajitekenya na kujichekesha wenyewe, ila mnapopigwa Suprise hadi Mwenyekiti wenu Taifa naye anapata kizunguzungu! Pole na Hongera kwa kufurahisha genge though!
 
Back
Top Bottom