Tetty
JF-Expert Member
- Jan 6, 2012
- 26,356
- 21,390
sasa mzee wa Tezi dume si ndo atachanganyikiwa kabisa maana hajui la kufanya sasa... tutegemee kusikia karudi Marekani kupima BP
Ni ile ya wale shemeji zangu na wifi zangu,"Akimung'unya Nchale Akitema Nchele"Pakushika pana moto.Waswahili wanasema ...'Mdharau Mwiba Mguu huota tende" Vyama vya msimu hivi,na tuendelee kuviona vyama vya msimu,na mvua pia yaja kwa msimu!!!!!!!!!!!!!!!:smow::smow: