Pascal Mayalla
Platinum Member
- Sep 22, 2008
- 50,467
- 113,567
Wanabodi,
Pamoja na juhudi zote zinazofanywa kumshawishi Rais Jakaya Kikwete asiutie saini huo muswada kugeuka sheria, nawaomba niwahakikishie kwa asilimia 100% chini ya 100%, rais Jakaya Kikwete, atautia saini muswada huo kwa kishindo na mbwembwe zote zinastahiki, tena atausani mapema zaidi kuliko hata ilivyokuwa inatarajiwa!.
At this point, nawaomba tuu wanabodi muipokee kauli hii kama taarifa tuu, nawaombeni sana msiniulize nimejuaje, wala msiniulize sababu zozote kwa sababu sitazijibu, ila eleweni tuu kuwa muswada utasainiwa!.(Nyongeza A: Rais atatakiwa kuukubali Muswada huo kabla ya kumalizika muda wa siku ishirini na moja tangu Muswada huo ulipowasilishwa kwake la sivyo basi itabidi alivunje Bunge.) Ibara ya 97 ya Katiba ya JMT ya 1977!.
Hii inamaanisha hata juhudi za Chadema, kutaka kumuona rais, zitagonga mwamba!. Kwenye hili la mchakato wa katiba, JK hatakutana na yeyote, hatasikia chochote, si la muadhini, wala mnadi swala, na wala hata bow down kwa shinikizo lolote, toka popote na kwa yeyote mpaka kwanza autie saini muswada ule!
Jee, lengo langu ni nini kuwapatia taarifa hii?.
Lengo la ni dogo tuu, kuwaanda wanabodi kuubali ukweli mchungu, hivyo wanakuwa tayari kisaikolojia kuipa tume hiyo ya maoni ushirikiano unaostahili.
Baadhi ya Watanzania wengi tumekuwa tukiishi kwenye false hopes na matokeo yake wasipopata kile walichokipata, the weak wana despair hivyo kuwa tayari kufanya lolote.
JK alipoingia madarakani, alikuja na kauli ya "Maisha Bora Kwa Kila Mtanzania", hivyo Watanzania wakawa na too much expectations kuhusu yeye. Maisha ya Mtanzania wa kawaida ndio haya tunayoishi sisi, walikuwa na matumaini makubwa ya maisha bora, wameanza kukata tamaa na kielelezo ni matokeo ya urais uchaguzi mkuu wa mwaka jana. Kitendo cha kuwajaza watu too much expectation wakati unaujua ukweli halisi, ni kuwapa false hopes!.
Enzi za Nyerere, baada ya Vita vya Kagera, alitangaza miezi 18 ya watu kujifunga mikanda, hivyo kuwaandaa kisaikolojia na tulijifunga mikanda kwa furaha.
Hivyo wale wote, wenye too much expectations kwa kudhani kuwa this time rais Kikwete atasikiliza kilio cha Watanzania kutaka kuutendea haki muswada huo, nawaombeni mjiandae kisaikolojia msije kupata frustrations na kuwa tayari kwa lolote!.
Namalizia kwa kutoa wito, "If you can't get what you want, please take what you get"!, yaani kama umekosa kile "kingi' ulichokitaka "Muswada Bora" ambao ungezaa "Sheria Bora", ambayo ingeunda "Tume Bora ya Kukusanya Maoni", ambayo ingetupatia "Katiba Bora", basi jamani, tujiandae kupokea hicho kidogo kilichopatikana ambacho ni "Bora Muswada" ambao utatupatia "Bora Sheria" itakayounda "Bora Tume ya Kukusanya Maoni" ambayo itatupatia "Bora Katiba" naomba tuipe tume hiyo ya kukusanya maoni, ushirikiano wa kutosha ili angalau tupate hiyo bora katiba, "Something is Better Than Nothing"!
Wasalaam
Pasco (wa jf).
UPDATE 1.
Rais Kikwete amepokea Barua ya Chadema na Amekubali Kukutana Nao!
UPDATE 2.
Pamoja na juhudi zote zinazofanywa kumshawishi Rais Jakaya Kikwete asiutie saini huo muswada kugeuka sheria, nawaomba niwahakikishie kwa asilimia 100% chini ya 100%, rais Jakaya Kikwete, atautia saini muswada huo kwa kishindo na mbwembwe zote zinastahiki, tena atausani mapema zaidi kuliko hata ilivyokuwa inatarajiwa!.
At this point, nawaomba tuu wanabodi muipokee kauli hii kama taarifa tuu, nawaombeni sana msiniulize nimejuaje, wala msiniulize sababu zozote kwa sababu sitazijibu, ila eleweni tuu kuwa muswada utasainiwa!.(Nyongeza A: Rais atatakiwa kuukubali Muswada huo kabla ya kumalizika muda wa siku ishirini na moja tangu Muswada huo ulipowasilishwa kwake la sivyo basi itabidi alivunje Bunge.) Ibara ya 97 ya Katiba ya JMT ya 1977!.
Hii inamaanisha hata juhudi za Chadema, kutaka kumuona rais, zitagonga mwamba!. Kwenye hili la mchakato wa katiba, JK hatakutana na yeyote, hatasikia chochote, si la muadhini, wala mnadi swala, na wala hata bow down kwa shinikizo lolote, toka popote na kwa yeyote mpaka kwanza autie saini muswada ule!
Jee, lengo langu ni nini kuwapatia taarifa hii?.
Lengo la ni dogo tuu, kuwaanda wanabodi kuubali ukweli mchungu, hivyo wanakuwa tayari kisaikolojia kuipa tume hiyo ya maoni ushirikiano unaostahili.
Baadhi ya Watanzania wengi tumekuwa tukiishi kwenye false hopes na matokeo yake wasipopata kile walichokipata, the weak wana despair hivyo kuwa tayari kufanya lolote.
JK alipoingia madarakani, alikuja na kauli ya "Maisha Bora Kwa Kila Mtanzania", hivyo Watanzania wakawa na too much expectations kuhusu yeye. Maisha ya Mtanzania wa kawaida ndio haya tunayoishi sisi, walikuwa na matumaini makubwa ya maisha bora, wameanza kukata tamaa na kielelezo ni matokeo ya urais uchaguzi mkuu wa mwaka jana. Kitendo cha kuwajaza watu too much expectation wakati unaujua ukweli halisi, ni kuwapa false hopes!.
Enzi za Nyerere, baada ya Vita vya Kagera, alitangaza miezi 18 ya watu kujifunga mikanda, hivyo kuwaandaa kisaikolojia na tulijifunga mikanda kwa furaha.
Hivyo wale wote, wenye too much expectations kwa kudhani kuwa this time rais Kikwete atasikiliza kilio cha Watanzania kutaka kuutendea haki muswada huo, nawaombeni mjiandae kisaikolojia msije kupata frustrations na kuwa tayari kwa lolote!.
Namalizia kwa kutoa wito, "If you can't get what you want, please take what you get"!, yaani kama umekosa kile "kingi' ulichokitaka "Muswada Bora" ambao ungezaa "Sheria Bora", ambayo ingeunda "Tume Bora ya Kukusanya Maoni", ambayo ingetupatia "Katiba Bora", basi jamani, tujiandae kupokea hicho kidogo kilichopatikana ambacho ni "Bora Muswada" ambao utatupatia "Bora Sheria" itakayounda "Bora Tume ya Kukusanya Maoni" ambayo itatupatia "Bora Katiba" naomba tuipe tume hiyo ya kukusanya maoni, ushirikiano wa kutosha ili angalau tupate hiyo bora katiba, "Something is Better Than Nothing"!
Wasalaam
Pasco (wa jf).
UPDATE 1.
Rais Kikwete amepokea Barua ya Chadema na Amekubali Kukutana Nao!
UPDATE 2.
Hii ni sehemu ya Hotuba ya JK, ukiisoma kwa makini utaona ni ndoto za alinacha kuamini kuwa atabadili uamuzi alioukwishaufanya yeye na chama chake lakini kwa kuwa Watanzania ni watu wa kuishi kwa matumaini tuendelee tu kusubiria muujiza:
Ni kutokana na hoja hizo Spika akaamua Muswada uendelee kujadiliwa na Bunge na leo Bunge limeupitisha Muswada huo. Baadae Muswada utaletwa kwangu kwa ajili ya kutiwa saini uwe Sheria. Baada ya hapo itabakia kazi yangu na Rais wa Zanzibar kuunda hiyo Tume ili mapema mwakani kazi ya kukusanya maoni ya wananchi ianze. Lengo letu ni kuwa ifikapo mwaka 2014 zoezi zima liwe limekamilika ili mwaka 2015 tufanye uchaguzi tukiwa na Katiba mpya. Itapendeza tukisherehekea miaka 50 ya Muungano na Katiba mpya. Ni matumaini yangu kwamba wananchi wote watashiriki kwa ukamilifu kutoa maoni yao kwa Tume hiyo.
....
Ndugu Wananchi;
Kwa upande wa mchakato wa kupata Katiba mpya nawasihi Watanzania tujiandae kwa maoni ya kutoa kwenye Tume ya Katiba mara itakapoanza kazi. Kwa wale ambao hawatapata walichokitaka nawaomba warudi kundini, sote tuungane kwa hatua inayofuata. Najua wanayo maoni mengi mazuri wayatayarishe na kuyawasilisha kwa Tume itakayoundwa. Njia ya maandamano na vurugu si ya busara kufuata. Haijengi bali inabomoa, haina faida bali hasara nyingi, haina faraja bali machungu kwa pande zote. Busara ituongoze sote kuchagua njia inayojenga, yenye faida, furaha na faraja kwa wote. Tutofautiane bila kupigana. Serikali itaendelea kutekeleza wajibu wake wa kuhakikisha Tanzania inaendelea kuwa nchi ya amani na utulivu.
Mwisho
Ndugu Wananchi,
Naomba nimalizie kwa kuwashukuru wananchi kwa kuwa na subira kwa kipindi chote hiki toka tutangaze nia yetu ya kuanza mchakato wa kupata Katiba mpya. Kwa mara nyingine tena nawaomba mjiandae kushiriki kikamilifu katika mchakato wa kupata Katiba mpya mara utakapoanza ili tuendelee kuijenga na kuiendeleza nchi yetu na vile vile tuendelee kuithamini na kuitunza amani ya nchi yetu.
BUNGE NA DOLA YA CHAMA TAWALA LIMEUNGANA KATIKA HILI!