byembalilwa
JF-Expert Member
- Aug 7, 2012
- 2,066
- 951
mbona tulaiambiwa kuwa hamna mzozo, huo mzozo umezuka lini tena?
Ngoja uchaguzi ukaribie.Umoja wa Katiba ya Wananchi(UKAWA), umefanikiwa kumaliza mzozo wa kugawana majimbo ya uchaguzi kwa ajili ya uchaguzi mkuu.
Chanzo:Tanzani Daima
Haya mambo yanaendeshwa ki Unafiki sana.Kumbe kulikuwa na mzozo? Mi nilijua yalikuwa majadiliano tu..
Haya mambo yanaendeshwa ki Unafiki sana.mbona tulaiambiwa kuwa hamna mzozo, huo mzozo umezuka lini tena?
We naona huna jipya. Shida yako unataka tumchangie Mbowe kwa kwenda kununua TanzaniaDaima. Unatusomea vichwa vya habari za magazeti ili tufanyeje?
Nunua wewe usome kisha uandike hapa jf.
Mkuu Salary Slip mimi nadhani upo ndani ya UKAWA, hivyo ingekuwa vyema kama ungetupatia habari yenyewe badala ya kichwa cha habari kama kilivyosomwa kwenye magazeti.
We naona huna jipya. Shida yako unataka tumchangie Mbowe kwa kwenda kununua TanzaniaDaima. Unatusomea vichwa vya habari za magazeti ili tufanyeje?
Nunua wewe usome kisha uandike hapa jf.
Kwenye siasa ndo kulivyo hata urafiki wa ACT na CCM ni wa mwashakaUKAWA ni urafiki wa mashaka.
Ungetuambia mmeumalizaje huo mzozo ingependeza, ila kutuambia tu mmeliza haina mashiko kwetu.
Ushauri wangu jipange halafu uandike upya
We naona huna jipya. Shida yako unataka tumchangie Mbowe kwa kwenda kununua TanzaniaDaima. Unatusomea vichwa vya habari za magazeti ili tufanyeje?
Nunua wewe usome kisha uandike hapa jf.
Hata hawa wanandoa wanamzozo. Nilidhani wao wako salama ndo maana waliamua kujitenga na ccm na kuungana. Sasa hawa asubuhi tu wana mzozo je tukiwapa ridhaa ya kukaa jumba jeupe magogoni watafanyaje. Si watagombania hata gari la Rais!!!Umoja wa Katiba ya Wananchi(UKAWA), umefanikiwa kumaliza mzozo wa kugawana majimbo ya uchaguzi kwa ajili ya uchaguzi mkuu.
Chanzo:Tanzani Daima