UKAWA wamaliza mzozo wa majimbo

UKAWA wamaliza mzozo wa majimbo

Hii ishara njema kwa Ukawa ndo tumaini jipya kwa watanzania
 
Umoja wa Katiba ya Wananchi(UKAWA), umefanikiwa kumaliza mzozo wa kugawana majimbo ya uchaguzi kwa ajili ya uchaguzi mkuu.

Chanzo:Tanzani Daima

Ungetuambia mmeumalizaje huo mzozo ingependeza, ila kutuambia tu mmeliza haina mashiko kwetu.
Ushauri wangu jipange halafu uandike upya
 
Ungetuambia mmeumalizaje huo mzozo ingependeza, ila kutuambia tu mmeliza haina mashiko kwetu.
Ushauri wangu jipange halafu uandike upya
Hii habari nimeilata kama channel 10 walivyoisoma katika kipindi cha magazetini.

Hata hiyo heading ndio heading kwenye gazeti husika.

Tafuta copy yako kwa habari zaidi.
 
Majambazi na majoka yenye makengeza yakisikia hivyo ushuzi unatoka fyuuuuuuuu
 
Hii habari nimeilata kama channel 10 walivyoisoma katika kipindi cha magazetini.

Hata hiyo heading ndio heading kwenye gazeti husika.

Tafuta copy yako kwa habari zaidi.

We naona huna jipya. Shida yako unataka tumchangie Mbowe kwa kwenda kununua TanzaniaDaima. Unatusomea vichwa vya habari za magazeti ili tufanyeje?
Nunua wewe usome kisha uandike hapa jf.
 
ukawa ndo tumaini lililobaki kwa watanzania
 
kauli yako ni information, labda niwe tu inquisitive mgogoro huu ndo upi?na wamemalizaje
 
We naona huna jipya. Shida yako unataka tumchangie Mbowe kwa kwenda kununua TanzaniaDaima. Unatusomea vichwa vya habari za magazeti ili tufanyeje?
Nunua wewe usome kisha uandike hapa jf.

Wewe ni CCM hizo taharifa zinakuhusuje?? Ni vizuri ulivyosema hununui, basi hiyo yatosha.

Mfanyabiashara wa mwenge, Mfanyakazi clouds, Kada wa CCM, Mfanyakazi idara nyeti serikalini hivyo vyote ni vyeo ulivyowahi kujibatiza humu
 
We naona huna jipya. Shida yako unataka tumchangie Mbowe kwa kwenda kununua TanzaniaDaima. Unatusomea vichwa vya habari za magazeti ili tufanyeje?
Nunua wewe usome kisha uandike hapa jf.
Nawe unajiita Thinker

swissme
 
Hii habari nimeilata kama channel 10 walivyoisoma katika kipindi cha magazetini.

Hata hiyo heading ndio heading kwenye gazeti husika.

Tafuta copy yako kwa habari zaidi.
Mkuu Salary Slip mimi nadhani upo ndani ya UKAWA, hivyo ingekuwa vyema kama ungetupatia habari yenyewe badala ya kichwa cha habari kama kilivyosomwa kwenye magazeti.
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom