UKAWA waiangushia jumba bovu CCM

UKAWA waiangushia jumba bovu CCM

Waliopoteza siyo hao wanywa Kitwanga?
ukawa wanajijenga kisiasa badala ya kutoa majawabu ya matatizo ya watz

siipendi hii tabia naamini ndiyo imepelekea bunge kutonyeshwa live.

kama wanataka mipasho ya ccm. imeharibu nchi waitishe mukutano jangwani. hata wiki nzima.

lakini bungeni tunataka hoja mbadala zenye nguvu sio mipasho.
 
ukawa wanajijenga kisiasa badala ya kutoa majawabu ya matatizo ya watz

siipendi hii tabia naamini ndiyo imepelekea bunge kutonyeshwa live.

kama wanataka mipasho ya ccm. imeharibu nchi waitishe mukutano jangwani. hata wiki nzima.

lakini bungeni tunataka hoja mbadala zenye nguvu sio mipasho.
Sasa kama ccm ndio wakina kitwanga wengi unategemea hoja gani
 
UKAWA wamekosa hoja za kusimamia hivi sasa, wamekuwa wa kudakadaka tu huku na kule.
TataMadiba naona umezeeka akili, JIJI la Dar esalaam ni sheeder kila kona, hakuna mifumo ya maji taka, maji Safi ya kunywa ni sheeder, ujenzi holela kila kona, huoni CCM tumeishiwa mbinu? Tuombe MUNGU JP atuvushe akishindwa nahamia opposition party.
 
Unapoteza muda kumuelewesha mtu ambaye akili zake binafsi alizojaliwa na Muumba kaamua kuziweka bond ili kuwafurahisha akina fulani.
Mtu anashindwa kutofautisha matatizo ya Kitaifa yeye anaingiza vyama. Huu ni utoto sana.
Kuna mambo yanaendelea vijijini yanakera sana,isipokuwa hakuna wa kuyasemea,nimewauliza wale wananchi je Mbunge wao huwa anawatembelea?wanasema "hapana hatujamuona tangu tumchague",wakaongeza "na huko juu ndo wala hawatujali maana wanajua matatizo yetu" wakimaanisha Halmashauri ya wilaya ya Kilosa.
 
Back
Top Bottom