UKAWA waiangushia jumba bovu CCM

UKAWA waiangushia jumba bovu CCM

Mdau issue ya Migogoro ya ardhi haina itikadi,unless hutembelei vijijini.Mi this week nilikuwa Kata ya Mkata,wilaya ya Kilosa.Nimeongea na wanakijiji wananiambia hawana sehemu ya kulima kwa sababu kuna mwekezaji amepewa eneo kubwa ameanzisha ranchi.Lakini pia wameniambia kuwa kuna migogoro kila mara baina ya wafugaji wa kimasai na wakulima wanaojiegesha kwenye vipande vya ardhi .Ambapo wamasai huingiza mifugo mashambani mwao.Na kesi huisha kisanii kwani watendaji wameshikwa na wafugaji.Nakushauri nenda Wilaya ya Kilosa tembelea maeneo haya hapa
1.Kimamba
2.Mkata
3.Pararakwio
4.Rudewa
5.Tindiga
6.Malui
7.Mbwade.
Mimi nilikuwa huko Jumatatu mpaka Jumatano wiki hii inayoish leo.
Usiingize siasa kwa mambo yanayowaathiri wananchi ambao wengi hawana hata itikadi za kisiasa.
Chukua ushauri huo

Unapoteza muda kumuelewesha mtu ambaye akili zake binafsi alizojaliwa na Muumba kaamua kuziweka bond ili kuwafurahisha akina fulani.
Mtu anashindwa kutofautisha matatizo ya Kitaifa yeye anaingiza vyama. Huu ni utoto sana.
 
Tatizo ni kwamba sasa hivo ukawa wanamchi wenye akili, ambao ni watanzania wengi hawana imani nao.
Sema uwaamini wewe usiwasemee wananchi kwani wananchi si ndiyo wamewapigia kura kwenye uchaguzi uliyopita ndiyo wameongeza viongozi wa upinzani pia hao wabunge si wamechaguliwa Na wananchi hao hao au walilazimishwa wawachague wabunge wa upinzani?
Punguzeni mizuka Na mahaba yasiyo Na tija wananchi wanateseka Na chanzo Ni nyie kama auna cha kuchangia uwege unalala mchana hata mara mbili kukuza mawazo Na akili.
 
Haya yana ukweli. Miaka ya themenini (1980s) viiji vilikuwa na ardhi tele kabisa. Mtu aliyependezwa na kijiji fulani alienda kijijini hapo na kuonana na uongozi wa kijiji akiomba kujiunga na kijiji hicho. Uongozi uliporidhika ulimpa hati ya kujiunga na kijiji na kumpatia shamba na kiwanja bila malipo isipokuwa tu ada ya kujiunga.
Baada ya haya mambo ya ubepari na ubinafsishaji kuanza watu wenye uchu wa ardhi ikiwa ni pamoja wawekezaji uchwara walienda vijijini na kuwarubuni viongozi wa huko kwa jina la uwekezaji na kupatiwa maeka na maeka ya ardhi.
kuanzia hapo ardhi ilianza kuuzwa kwa bei ya kutupa huku wanufaika wakiwa viongozi. kijiji hakikubakiwa tena na ardhi bali mtu mmoja mmoa ambaye nae aliuza kwa wawekezaji.
Mfano ukienda wilaya ya Bagamoyo utakuta kuna ardhi kubwa tu haiendelezwi hata, na ukigusa tu utaambiwa ni ya mwekezai.
Viijiji havina ardhi tena!
kwa hiyo ni lazima hatua zichukuliwe ardhi irejeshwe kwa wanachi.
Magufuli anafaya vizuri na Lukuvi anaenda vyema tuwape moyo katika suala hili la ardhi.
Kwa kuwa viongozi walikuwa wa CCM basi ni dhahiri ccm inahusika na tatizo la ardhi lililopo.
 
Mdau issue ya Migogoro ya ardhi haina itikadi,unless hutembelei vijijini.Mi this week nilikuwa Kata ya Mkata,wilaya ya Kilosa.Nimeongea na wanakijiji wananiambia hawana sehemu ya kulima kwa sababu kuna mwekezaji amepewa eneo kubwa ameanzisha ranchi.Lakini pia wameniambia kuwa kuna migogoro kila mara baina ya wafugaji wa kimasai na wakulima wanaojiegesha kwenye vipande vya ardhi .Ambapo wamasai huingiza mifugo mashambani mwao.Na kesi huisha kisanii kwani watendaji wameshikwa na wafugaji.Nakushauri nenda Wilaya ya Kilosa tembelea maeneo haya hapa
1.Kimamba
2.Mkata
3.Pararakwio
4.Rudewa
5.Tindiga
6.Malui
7.Mbwade.
Mimi nilikuwa huko Jumatatu mpaka Jumatano wiki hii inayoish leo.
Usiingize siasa kwa mambo yanayowaathiri wananchi ambao wengi hawana hata itikadi za kisiasa.
Chukua ushauri



Utatenganisha vipi Kati ya Serikali iliyopo na Chama tawala!Na pia utatenganisha vipi Kati ya wananchi na Ilani ya chama walichokichagua kutawala? Waungwana palipo na tatizo hupaona na kutafuta ufumbuzi!Sasa unaposema siasa haihusiki ninakushangaa!
 
Haya yana ukweli. Miaka ya themenini (1980s) viiji vilikuwa na ardhi tele kabisa. Mtu aliyependezwa na kijiji fulani alienda kijijini hapo na kuonana na uongozi wa kijiji akiomba kujiunga na kijiji hicho. Uongozi uliporidhika ulimpa hati ya kujiunga na kijiji na kumpatia shamba na kiwanja bila malipo isipokuwa tu ada ya kujiunga.
Baada ya haya mambo ya ubepari na ubinafsishaji kuanza watu wenye uchu wa ardhi ikiwa ni pamoja wawekezaji uchwara walienda vijijini na kuwarubuni viongozi wa huko kwa jina la uwekezaji na kupatiwa maeka na maeka ya ardhi.
kuanzia hapo ardhi ilianza kuuzwa kwa bei ya kutupa huku wanufaika wakiwa viongozi. kijiji hakikubakiwa tena na ardhi bali mtu mmoja mmoa ambaye nae aliuza kwa wawekezaji.
Mfano ukienda wilaya ya Bagamoyo utakuta kuna ardhi kubwa tu haiendelezwi hata, na ukigusa tu utaambiwa ni ya mwekezai.
Viijiji havina ardhi tena!
kwa hiyo ni lazima hatua zichukuliwe ardhi irejeshwe kwa wanachi.
Magufuli anafaya vizuri na Lukuvi anaenda vyema tuwape moyo katika suala hili la ardhi.
Kwa kuwa viongozi walikuwa wa CCM basi ni dhahiri ccm inahusika na tatizo la ardhi lililopo.
Ccm ni janga
 
sipendi kulifanya bunge kuwa jukwaa la kisiasa.
ukawa wamepoteza dira.
 
Back
Top Bottom